Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Habar wakuu, bilashaka natumai mu wazima wa afya tele.....! Bila kupoteza tym naomba niende moja kwa moja kwenye point yangu, nimekuwa nikitaman kwa muda kuvaa saa ya smart ila nashindwa kufanya...
1 Reactions
70 Replies
9K Views
Kwa wanaohitaji viwanja ndani ya Dar es Salaam karibu Mbezi Makabe na Msumi. 1.Mbezi Msumi eneo limekatwa viwanja kadhaa kwa ukubwa tofauti kama ifuatavyo: Mita 16*16 bei ni Tsh5,500,000/= Mita...
5 Reactions
15 Replies
4K Views
Nauza YouTube channel Yangu link Yake https://youtube.com/@afroafricaa Ina Subcriber 128k Ipo complete Na Adsensens Yake Aina Ya Mauzui Niliyo Kuwa Na post Ni Comedy Nipo Ubungo Nicheke...
2 Reactions
16 Replies
866 Views
Tunu zetu Library tumekuwa kwa muda mrefu tukizienzi na kuboresha kazi za wakongwe wa fasihi ya kiswahili kwa manufaa ya kizazi kijacho. Baaada ya kuona maktaba nyingi hazina vitabu hivi...
8 Reactions
47 Replies
5K Views
Mostly welcome our beloved customers. Let us serve you with services such as; House keeping Gardening Fumigation Couriers Security General cleanness Tunapatikana boko basihaya MKABALA na jengo...
0 Reactions
0 Replies
227 Views
Iko hivi mi nafanya kazi shirika fulan , huwa tunazurura mikoa mingi , kila mkoa huwa tunakaa at least miez sita . Kwa sasa tupo DSM , nimechukua chumba mitaa ya KAM college Kimara korogwe...
2 Reactions
27 Replies
2K Views
Nyumba inauzwa ipo Kigogo Lwanga karibu na shule, dakika moja kufikia ilipo. Zipo nyumba Tatu kwenye kiwanja kimoja. Inafaa kwa ajili ya kujenga godown kwa wale wafanya biashara. Haina mgogoro...
2 Reactions
25 Replies
2K Views
Usalama ni jambo la msingi katika maisha yetu ya kila siku. Tunapojali usalama wetu na mali zetu, tunaweza kuishi bila wasiwasi na kujenga mazingira bora kwa familia zetu na biashara zetu. Hapo...
0 Reactions
0 Replies
343 Views
Anayejua chimbo la mapochi kariakoo atujuze wajasiriamali wadogo pls
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Kutokana na kuelemewa na majukumu yanayohitaji kusafiri mara kwa mara na kushindwa kuwa na usimamizi wa karibu tumeamua kuuza biashara yetu ya duka la nguo. Kama unataka kuingia kwenye biashara...
5 Reactions
46 Replies
3K Views
Gari inauzwa bei TSH.21,000,000/-TU ipo kwenye hali nzuri sana ilikua inasafirishiwa mikate tu ,mwenyewe kapatwa na shida ya ghafla anauguliwa ,ukihitaji kuiona ipo maeneo ya kigamboni maelezo...
0 Reactions
0 Replies
489 Views
Tuna pampu ndogo hadi kubwa za kutoa lita 30,000 kwa saa. Bei. Surface pump na submersible 0.5hp lita 2000kwa saa. complete tsh 700,000. 2hp ya kudmbukiza lita 8000 kwa saa, mita18head tsh...
3 Reactions
5 Replies
4K Views
Bandugu kwema? Nina laptop naiuza. Ina ram 8GB, HDD ni 500, CPU ni 2.4GHz ni Hp. Kwa Dar ni wapi wananunua laptop used? Adapter yake ipo pamoja na battery.
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Kinanda aina ya Novation Launchkey 49 MK2 kinauzwa. Kinanda hiki ni maalum kwa ajili ya Music Production tu. Kinanda hiki bado ni kipya na hakina hata mkwaruzo. Kinafanya kazi na software zote za...
3 Reactions
4 Replies
980 Views
Karibu buguruni kisiwani kujipatia vifaa vya ujenzi kama vile nondo, mabati, Square pipes, Rangi na vingine vingi kwa bei ya jumla kabisa.
0 Reactions
3 Replies
749 Views
Iwe inchi 8 au 10 ikiwa ya mtumba lakn iwe inafanya kazi, kama hii hapa chini.
0 Reactions
1 Replies
257 Views
ONSALE[emoji593] Call [emoji338] 0756553292 CROWN ATHLETE Reg number ....D.R VERY CLEAN CONDITION Year 2005 Engine Cc 2490 Price (12,900,000) Kama Unauza gari lako, Tafadhali Wasiliana nasi kwa...
0 Reactions
97 Replies
6K Views
Salam wakuu, Nauza kiwanja chenye urefu wa mita 35 na upana mita 20. Kimepimwa(surveyed) Bei ni Tsh. Milioni 3 Plot number 594 Location: Morogoro, Mkundi. Mawasialiano zaidi: WhatsApp number...
6 Reactions
29 Replies
2K Views
Nauza eneo la kiwanja lipo mailimoja B umbali km 1.5 toka barabara ya Morogoro, eneo lina ukubwa wa mita 20 kwa 50, huduma za maji na umeme barabara zipo . Contact,0744639217 Bei,10millions View...
0 Reactions
26 Replies
8K Views
Katika pitapita zangu nikagundua Kariakoo bila kujulikana utauziwa vitu ghali. Kuna mwanamke alitaka TV inch 65 akaenda kariakoo bei ikamshinda akaona anitafute nikamwambia bei yangu akaridhika...
7 Reactions
35 Replies
2K Views
Back
Top Bottom