Kifaa hiki kinawafaa wale ambao wana bustani au mashamba na wangependa kuratibu muda wa kumwagilia bustani au mashamba Kipo vizuri sana hakina tatizo lolote.
Kipo complete na koki yake
Say goodbye to manual bookkeeping and hello to streamlined operations! Our powerful system seamlessly integrates point-of-sale transactions with accounting records, saving you time and reducing...
Habari,
Nahitaji account kwa mwenye nayo ya huduma za usafiri kwa hapa DSM. Nipo na bajaji nataka nijiunge na hiyo mitandao kwa mwenye nayo PM tuyajenge.
Vifaa vya saluni ya kike vinauzwa.
Vifaa vilivyopo ni Drayer za kukausha 2, Drayer ya mkono 1,
Drayer la stima 1,
kioo kikubwa kimoja,
rolas na tray ya rolas.
Bei Tsh. Laki tano (500,000/=)...
Wa-adventista huwa tuna series ya mafundisho katika platform zetu tofautitofauti
Ikiwemo YouTube, Hopechannel Tanzania Tv na radio.
Tulianza na NYUMBANI HATIMAYE, UHURU HATIMAYE na sasa tuko na...
Mambo Vp wakubwa
Naomba mwenye kujua wapi naweza kupata cover za hz simu redmi note 7 au redmi 10x pro 5g kwa hapa dar au hata nje ya dar maana nimetafuta hadi bas asee[emoji17]
Ntakuwa naleta hesabu kwa makubaliano.
-Nimeajiriwa na mshahara wa 1.8 M
-Sina mkopo bank wala popote
-Sina wategemezi
-Hii itaniongezea kipato weekend na masaa baada ya kazi. Nishawahi kufanya...
SIMU YAKO NI EFD YAKO TOSHA KABISA ..SASA UNAWEZA KUTUMIA SIMU YAKO AU LAPTOP YAKO KUTOA RISITI ZA EFD
TOA RISITI BILA KIKOMO
KARIBU DIRM TECHWORKS TUKUHUDUMIE
0692099113 [emoji338]
Whatsup...
Salaam wakuu.
Natumai mu-wazima nyote. Well, kama mada inavyojieleza wadau nahitaji huduma ya mabarafu makubwa kiasi kwa maeneo tajwa hapo i.e Segerea, Tabata au kama ikishindikana basi hata...
We are looking for skilled and motivated freelancers to join our team. If you are a freelancer with experience in any of the following areas, we want to hear from you:
Writers and editors...
Kama wewe ni mwandishi ambaye unatafuta mtaalamu wa kuhariri kazi zako ili kufikia kiwango cha juu, nipo hapa kukusaidia.
Nimejitolea kusaidia kuimarisha muundo wa maandishi yako, kusawazisha...
Nyumba inauzwa eneo ni Keko kilometer chache kuelekea ama kutoka mjini (city center), yaani kutoka hapo kuelekea Kariakoo kwa miguu ni dk 10-15 pia kuelekea posta ni 15-20.
Ina vyumba sita na...
Habari wakuu za kwenu? Hope mko poa.
Niko na 4G POCKET WIFI nili nunua airtell kwa thamani ya shilingi 50k
Ina offer ya 5GB kila mwezi pale unapo weka kifurushi cha mwezi mfano ukinunua GB 4.5...
Dodoma ni jiji linalokua kwakasi kubwa mno, dodoma Ndio jiji pekee Africa mashariki na kati litakalokua na barabara ya mzunguko ukiitoa South Africa.
Barabara ambayo utazunguka mkoa mzima wa...
VIWANJA VINAUZWA KWA OFA YA SABASABA
VIWANJA vinapatikana Vigwaza ni km 8 kutoka barabara ya Morogoro na km 1 kwenda bandari ya nchi kavu.
Kwa msimu huu wa sikukuu utapata kiwanja kwa gharama ya...
OFFER OFFER OFFER [emoji95][emoji95][emoji95][emoji91][emoji91][emoji91]
*IMESHUKA BEI JUMBA LA KIFAHARI KIBAMBA KWA TZS. 180m, UNAWEZA KUTUTANGULIZIA 50m UKAINGIA, HALAFU INAYOBAKI UTATUAMBIA...
Wadau salaam,
Natafuta nyumba/chumba ya kupanga maeneo ya Namanga, Ada Estate na maeneo ya karibu na hapo. Nahitaji nyumba ndogo hasa chumba/master room (self-contained) yenye jiko.
Naomba...
VIWANJA VINAUZWA KIBAHA MAILI MOJA - PANGANI (PLOT NO. 71,73,75)
Eneo lina huduma zote za Jamii.. Hospital, Shule, n.k na ni kilomita 3 kutoka barabara ya Morogoro road mpaka kiwanjani..
Ukubwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.