Wanajamii wenzangu habari zenu,
Ndugu yenu naombeni kufahamu mahali zinapatikana soksi za mtumba kwa jumla hapa Dodoma kwa yeyote anayefaha tafadhali naomba msaada wako.
Wewe ni freelancer ,mwandishi au mfanyabiashara Na unahitaji kuweka mfumo wa kulipia ili watu kabla hawajajiunga kwenye group lako la WhatsApp au WhatsApp business waweze kulipia Na uweze kupokea...
Habari ndugu,
Mimi ni kijana wa miaka 24 Nipo mkoani Dodoma, nilisimamisha masomo yangu nikiwa mwaka wa pili chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM).
Nilikuwa nasomea Bachelor Degree of Adult Education and...
It's been long time.
Wakuu Kwema?
Baada ya miaka 3 ya machozi, jasho na damu (Life after Colleg) kijana wenu nimefanikiwa kusajili mechanical company inayoitwa Masuma Engineering.
Masuma...
Tunasuka na kuuza mashine za kuchomea vyuma (welding machine) za aina na uwezo tofauti.
Pia tunasuka na kuuza mshine za kuchaji betri ( battery charger) zenye uwezo wa kuchaji hadi battery 16...
Dundani ipo umbali mfupi kabla ya kufika Mkuranga Town ukiwa unatokea Mbagala.
Shamba lina ukubwa wa Ekari 6.88 Kama inavyoonekana ktk sketch map hapo chini.
Liko umbali wa kilomita 1 kutoka...
Wanajamii naombeni kuuliza ni wapi naweza kubadili pesa ya Israel. Nimejaribu kwenye baadhi ya biro na benki, lakini hawabadili.
Naombeni anayefahamu sehemu ya uhakika anielekeze.
Nyumba inauzwa Tanga mjini, Kange
3 Masters Bedrooms na moja ipo ghorofani in sitting room.
3 Normal bedrooms.
Car garage (parking)
public toilet
kitchen
Siuting room & Dining room
Mabanda 7...
PhD and Postdoc Positions for Fall 2023 or Winter 2024.
The research project will utilize machine learning and data analytics for modelling methane emissions.
Qualifications:
Solid educational...
Karibuni wafugaji wote. Tunauza mashine za kutotoleshea vifaranga za ukubwa mbalimbali
Kwa mawasiliano ni 0753903809, au 0655903809 au expecamdu@gmail.com au tembelea facebook page yetu ya...
Bwana Yesu Kristo asifiwe, ....
Asalaam aleykum......
Habari zenu wana jamii forums nauza kiwanja changu binafsi kipo mbezi ya kimara -Makabe zoezi la upimaji tayari ila hati bado hazijaja...
Kiwanja kipo 2Kms kutoka KIBADA kuingia barabara ya mtaani
Tayari kumejengeka na nyumba za kifahari
Eneo: 972 Sqm (Pameshapimwa na mawe tayari yameshawekwa)
Nyaraka: Mauziano ya Serikali ya...
Wasalam, wapendwa wateja!
Karibuni mjipatie Laptop used zenye ubora mkubwa za aina mbalimbali kwa bei nafuu. Duka letu lipo Arusha Mjini
👇👇👇
Brand: DELL 3150
Processor: INTEL DUAL CORE
RAM: 4GB...
Wajenzi wa vyoo vya kisasa visivyo jaa kabisa
.Sifa za mashimo yetu
.Hayajai
.Hayatoi harufu kabisa
.Huondoa kero ya kunyonya maji taka mara kwa mara
. Huondoa gharama za kunyonya maji taka...
Mpango wa Biashara (Business Plan), ni nyenzo muhimu katika mafanikio ya biashara. Mpango wa Biashara humsaidia mjasiriamali ku-shape wazo lake la biashara na kulifanya kuwa fursa (Opportunity)...
NYUMBA NZURI YA KISASA INAUZWA BEI YA KUTUPWA. INA HATI MILIKI. IPO KIGAMBONI MWEMBE MTENGU. BEI NI MILION 160 TU 0744993715
SIFA YA NYUMBA.
Vyumba vinne vya kulala kimojawapo ni Master kubwa...
Kama kichwa kinavyojieleza hapo, Mungu akinijaalia mwezi wa 7 nataka kufungua kibanda cha kupata angalau Mia 2 Mia 3 ili niweze kulea mke wangu(sijamuoa) na mtoto wangu huku nikiendelea na masomo...
NIKON D3000 CAMERA MPYA
🟡UNAPATA LENZ 18-55mm
🟡CHAJI NA BETRI
🟡MEMORY CARD 32GB
🟡UNAPATA NA BEGI
BEI TZS: 380,000/= TU
PIGA: 0752886244
HII OFA SIO YA KUKOSA KABISA[emoji3060][emoji3060]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.