Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Wakuu natoa huduma zifuatazo: 1. Natengeneza website za aina zote, blog n.k 2.Natoa huduma za E-comerce, App za kihasibu kama vile quickboks,microsoft 360 na software nyingine za kihasibu au za...
0 Reactions
11 Replies
451 Views
Imekuwa ni changamoto kwa watanzania Na baadhi ya watu kushindwa kupokea malipo yao kutokana Na PayPal ya Tanzania kushindwa kutoa fedha nchini. Sasa nmekuja Na hili jipya, ni kuwa unaweza...
2 Reactions
0 Replies
2K Views
Gari inauzwaa mwanza Million 24, ina kila document muhimu inayohitajika. Kwa mawasiliano zaidi piga simu namba +255 769 088 152
0 Reactions
49 Replies
2K Views
Kama kichwa cha habari kinavyoeleza hapo juu ninapota kufanyia biashara hakuna umeme hivyo natafuta friji za sola zinazo tumia umeme wa jua kwa aliyo nayo au anaejua zinapo patikana.
0 Reactions
3 Replies
677 Views
Habari, Kama wewe ni mmiliki wa pharmacy, Hospital au zahanati,supermarket au duka la aina lolote ile bas hii inakufaa, Dunia hivi sasa imebadilika sana tekinolojia inazidi kukua Kila kukicha...
0 Reactions
0 Replies
271 Views
Jambo Jambo? Wote tunajua kuwa mbali na Ajira huwa tunapiga mishe zingine za pembeni ili kujipatia kipato na kutoa msaada kwa wadau wanaouhitaji.Tupo kundi la watu kadhaa ambao kulinganana kazi...
0 Reactions
2 Replies
253 Views
Gari Nissan xtrail for sale Dar es salaam: Mwenge Milion 10.3 Karibuni. Namba: 0747713713
0 Reactions
0 Replies
422 Views
Kama title inayojieleza hapo juu, natafuta wakala wa safaricom au mtu mwenye cash kwenye safaricom mpesa kwa tanzania, nataka niweke pesa kwenye safaricom mpesa. Kama upo DAR itakuwa poa sana...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Kiwanja kipo maeneo ya kinondo mwendokasi kata ya Mabwe pande, Dar es salaam. Kina Sqm 400 kina structure au jengo lenye chumba na sebule na choo, kipo sehemu nzuri sana. Bei ni Tshs : 8.5m...
1 Reactions
9 Replies
807 Views
Camera nikon D90 inauzwa katika hali nzuri. Bei Tsh 900000 piga simu 0712652110 Dar.
1 Reactions
4 Replies
718 Views
Habari, Naitwa MGOLE MWITA CHACHA Nimepotelewa na vyeti vyangu vya shule pamoja na kuzaliwa vyenye jina tajwa hapo juu. CHETI CHA FORM FOUR-MAJANI YA CHAI SEC SCHOOL CHETI CHA FORM SIX-UWEMBA SEC...
1 Reactions
5 Replies
981 Views
Habari Wadau Onana nasi kwa huduma zifuatazo: Kwa habari ya mahitaji yako ya KUCHAPISHIWA (PRINTING): Calendar, Diaries, Tshirts, Mugs, Stickers, Posters, Books, Forms, Business cards...
1 Reactions
17 Replies
1K Views
Wadau hongereni na majukumu. Natafuta master bedroom ya hio bei. Location kuanzia Kimara mwisho - Ubungo. Isiwe mbali na Morogoro road. Angalau umbali uwe dakika 10 tu. Msaada tafadhali
0 Reactions
0 Replies
322 Views
Fridge Inauzwa: Fridge hii ni Brand ya INDESIT ambayo inatengenezwa na company ya Hotpoint ya Uingereza.. ina pooza na kugandisha vizuri.. Matumizi yake ya umeme ni Bora yenye level ya A+...
2 Reactions
3 Replies
600 Views
Nyumba Iko Kimara Suka - 1Km kutoka Morogoro road, kushoto ukiwa kama unakwenda Mbezi. Sifa za nyumba: Ziko mbili ndani ya fence 1 Vyumba 3 kimoja Master AC mbili (Sitting room moja na master...
2 Reactions
96 Replies
9K Views
Nauza Harddisk za desktop na laptop used kutoka Dubai, ukihitaji tafadhari nicheki kwa 0673330618 WHATSAPP na KAWAIDA
0 Reactions
0 Replies
363 Views
Hdd Gb 1,000 (1tb) inauzwa ndani ikiwa na baadhi ya Movie [emoji897] tofauti tofauti bei ni 90,000. Hdd ni Toshiba niko Kibaha Pwani, 0626 368 650
1 Reactions
0 Replies
347 Views
Asilimia kubwa ya magari huwa yanakuwa na warning lights(taa za tahadhari) za aina tatu. Aina hizi nitazitofautisha kulingana na rangi za hizo warning lights. Aina hizo ni kama ifuatavyo. 1...
41 Reactions
102 Replies
24K Views
Nauza gari yangu mwenyewe. Make: Toyota Model: Starlet Carat Cc 1300 Bei 5 million No plate DDB
1 Reactions
2 Replies
890 Views
Wakuu kuna tani 32 za mahindi zinauzwa, bei itategemea na sehemu ulipo maana nakuletea, ama ukiamua kuyafuata mwenye pia sawa Kwa maelezo na mawasiliano zaidi nicheki inbox
2 Reactions
6 Replies
765 Views
Back
Top Bottom