Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Punguza gharama za ujenzi kwa kununua vifaa vya bomba kwa bei ya jumla jumla. IPS, PPR, GS, PVC Gutter Karibu Gerezani, kariakoo Whatsapp +255 669 494650 Ukiitaji bei njoo whatsap au fika dukani...
1 Reactions
3 Replies
4K Views
Kama heading inavosema hapo juu wakuu Nina mtu anahitaji vanilla kiasi chochote na kwa bei tajwa hapo juu, Mawasiliano piga 0746021481 Hata Leo uwezekano ukiwepo tunaanza safari ya Kuja kucheki...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Ipo Arusha ni nzuri kwa kazi ngumu,inatumia mafuta kidogo sana sababu ya kuuza nataka ninunue baja 250 kwa safari za porini...
0 Reactions
18 Replies
8K Views
Electric OVEN PMC (imetumika miezi miwili) with 2 hot plates (ina majiko mawili hapo juu).. ni 48 Litres kwa tsh 195k. inachoma, kuoka na kupasha. inapatikana dar - kimara.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jamani nina eneo langu liko Kibaha kwa Mfipa jirani na Sec. naliuza. Lina ukubwa wa nusu heka, kuna boma la nyumba ya vyumba 3 ambavyo vyote ni master, seble jiko na dining. Nimeezeka vyumba 2 na...
1 Reactions
21 Replies
2K Views
Prado machozi for sale Bei Mil 90 Engine 2tr Petrol Automatic Location Dar es salaam Gari mpya sana haijarudiwa rangi kokote Pigs simu ukaone Gari kwa serious buyer ukaongee nae 0714787795
3 Reactions
10 Replies
1K Views
Jamani naomba anayejua mtu huyu alipo anisaidie kumpata. Anaitwa Mr Carlos Sendwa, alisoma PCB sekondari ya Pugu STream G 1980-82. Wakati huo mimi nilikuwa PCB stream F, mwenyeji wa Mbeya. Wazazi...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
TUNAUZA VIWANJA ENEO: Kibaha Misugusugu, Kilomita 2 toka morogoro road. _________ MALIPO: Kwa awamu ndani ya Miezi 6. _________ BEI: Taslimu - Tshs 10,000 @1Sqm, Awamu - Tshs 12,000 @1Sqm ___...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Aquos Zero Ram 6gb Storage 128gb Price 190k Slightly used Call 0659496993 DSM
0 Reactions
9 Replies
747 Views
Ndugu habari zenu. tumeamua kuwasaidia watanzania hasa kwa wale wafanyabiashara wakubwa, wadogo pamoja na wajasiriamali. Kumekuwa na malamiko mengi sana kwa Watanzania kuhusu makadirio ya kodi...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Clean sanaaa Battery 100% XR gb 64
0 Reactions
7 Replies
714 Views
KINAUZWA KIWANJA TABATA KIFURU _____________________ ENEO: Tabata Kifuru _________ BEI: - Tshs 28 Milioni _________ UMILIKI: Kimipimwa kina offer. _________ UKUBWA WA VIWANJA: Sqm 800. ________...
0 Reactions
0 Replies
401 Views
Kuna vyumba viwili na seble moja kiwanja ni 25 kwa kumi 15
1 Reactions
11 Replies
846 Views
Simu inauzwa Tzs 170k Location Bagamoyo Samsung A03 core
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Najidakia store tunakuletea powertilla aina ya kubota kwa millioni tisa na laki tano tu (9.5m) Na offa ya usafiri bure ndani ya Tanzania offa za pasaka hizi wahi Tupo Ubungo external lolote...
0 Reactions
15 Replies
15K Views
Hello guys Nahitaji ku import powertillers aina ya kubota. Kwa yoyote anayejua nawezaje kuziagiza naomba unisaidie na nazitoa nchi gani?
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari zenu Natafuta room ya kupanga maeneo ya bunju karibu na stendi au mapinga karibu na shule ya baobab Mwenye kufahamu naomba anisaidie au aniunganishe na dalal wa maeneo hayo asanteni
1 Reactions
0 Replies
518 Views
Habari za majukumu, Nauza wigs original 100% Human Hair kwa bei rahisi saana Human hair with frontal lace Rangi ni black na brown. Ni original kabsa, unaweza Kupasi Kutong Kubadilisha rangi...
0 Reactions
0 Replies
874 Views
Nauza samsung tablet A10 Ram 3 GB Internal 32 GB Inatumia line 1 Battery 5000amh Price 300,000 Imetumika miezi 3 ni bado ni mpya Alie serious aje pm Napatikana Dar es Salaam
0 Reactions
0 Replies
338 Views
Tunauza mbao za dawa na zisizo na dawa kwa bei rafiki kabisa mbao ndefu za dawa 2*4 ni shilingi 13,000 mbao za futi 12 za 2*4 ni shilingi 5000,2*2 za dawa ni 2800 ofisi zetu zipo mbezi mwisho...
0 Reactions
2 Replies
724 Views
Back
Top Bottom