Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Kwa Tsh 77,000 tu!! Unapata: Dish, Decoder HD, Cable, ( vifaa vyote ), kifurushi Cha family cha Tsh 29,900 na unapata fundi wa kukufungia bila kulipa gharama ya ziada!! Ili kupata offer hii piga...
6 Reactions
71 Replies
7K Views
Unawapa kitafunwa gani wageni wako? Wateja wako wanafahamu kwamba, korosho ni kitafunwa pendwa zaidi? Una nafasi ya kuzipata leo kwa bei ya jumla, zimeandaliwa vizuri kurudisha kumbukumbu. Bei...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Mwenye kujua wapi miche ya mitiki inapatikana. Nahitaji kwaajili ya kwenda kupanda kwenye shamba langu lililopo Mwanza. Na wale wataalamu wa hichi kilimo cha mitiki kinaweza kukubali katika ardhi...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Habari! Nauza Bajaj TVS KING ya 2022 MC 965 DSA imetembea km 1500. Nimenunua 8,100,000 -Ina bima kubwa mnaita comprehesive ya mwaka 1, itaexpire 07/02/2024. Kwa 600,000 -ina latra ya 32000 expire...
3 Reactions
25 Replies
2K Views
*SAFETY BOOT ON SALE* Nauza Safety boot aina ya Safety jogger. Namba 42 au 8. Ni heavy duty pia ni Oil resistant antislip. Ina chuma mbele. Ni mpya kabisa na box lake haijawai valiwa. Ina...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Mwenye Harrier ya rangi ya Siliver. Bajet milion 16 tuishi ndani tuwasiliane, namba iwe D, kama unayo nitafute kwa namba hii 0757804843.
1 Reactions
1 Replies
928 Views
Habari wakuu Land Rover Defender 110 Gari ni ya mwaka 2000 Documents halali zipo Nzima, kila kitu kiko sawa Bei 35 Millions Gari iko Sinza, Dar es Salaam, kwa aliye interested karibu sana na...
8 Reactions
33 Replies
3K Views
Habari Wadau, Natafuta gari ndogo (Sedan) ya kukodisha kwa matumizi binafsi route za Dar tu, dereva nitakuwa mwenyewe, wiki 2 kuanzia 27 March 2023. For now niko abroad ila tunaweza arrange in...
1 Reactions
0 Replies
659 Views
Natumaini hamjambo, katika harakati za kujikwamua nililima Tangawizi hii imekomaa vya kutosha maana ilipaswa kuvuna toka msimu ulio pita lakini sasa ndio nipo navuna na nataraji kuvuna zaidi ya...
1 Reactions
0 Replies
594 Views
..
1 Reactions
16 Replies
4K Views
gharama za uchimbaji visima kulingana na mkoa uliopo (Dar es salaam 50,000 kwa mita moja (pwani,kibaha,mkuranga,kimanzi chana,mlandizi,kisarawe,Bagamoyo 60,000 kwa mita moja (morogoro) 90,000 kwa...
2 Reactions
44 Replies
15K Views
Switch bado ni mpya kabisa na box lake lipo. Mwenye Uhitaji na hiyo switch hapo inapatikana kwa bei rahisi sana kwa ambae atahitaji anicheki kwa namba 0652414900 au 0744885518 Location- Dar es...
0 Reactions
10 Replies
762 Views
Bei/Price[emoji434]: Tzs 45.8M Call[emoji338]0747 999 927 RANGE ROVER SPORT(EAZ) Yom: 2006 Engine: 2.7L Mileage: 50,901 Engine No: TDV6 Fuel Used[emoji618]️: DIESEL Transmission: AUTO...
7 Reactions
81 Replies
6K Views
Habari za wakati huu; Tuwasiliane kwa wale ambao wanahitaji kununua mashamba na viwanja katika maeneo mbalimbali nchini Tanzania.Maeneo tunayouza ni yaliyopimwa na ambayo hayajapimwa.Maeneo yako...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Hivi unajua kwa 90% madereva wamekua chanzo cha biashara ya usafirishaji kufa. Haya ndio mambo unayotakiwa kuzingatia wakati wa kuajiri dereva Uzoefu wa Dereva; Bila kujali watakua wakiendesha...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
PIA BAISKELI ZA WATOTO ZIPO Tsh 120,000/= Tunapatikana Dar Es Salaam,Temeke karibu na Davies Corner mtaa wa Sambwisi karibu na shule ya Sekondari ya Tandika Maarifa Namba 0713 898927
1 Reactions
29 Replies
21K Views
Jumatano wiki hii ilikuwa ni kumbukumbu ya kuzaliwa ya tajiri maarufu nchini Tanzania Reginald Mengi. Hata hivyo, tajiri huyo huyo alifariki wiki nne kabla jijini Dubai, Falme za Kiarabu. Katika...
0 Reactions
3 Replies
920 Views
COMPLETE DESKTOP PC Monitor: 24” CPU: Dell Core i5 Gen: 3 HDD: 500GB Bei: 400k Tuwasiliane: +255 744 33 11 88
1 Reactions
5 Replies
630 Views
Wadau kama kichwa cha habari kinavyojieleza kwamba natafuta mashine ya kusajilia line za mitandao yote. Naomba msaada wa maelezo jinsi ya kupata phat_07
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Nafanya kazi nzuri za Finishing ya Rangi kwenye Nyumba yako Ndani na Nje Nicheki Whatsapp 0685423249
1 Reactions
1 Replies
491 Views
Back
Top Bottom