Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Very Clean Condition, Everything works perfectly [emoji736] 4K /60fps 5-Direction Obstacle Sensing ActiveTrack can recognize and automatically follow people and objects like cars and boats...
0 Reactions
0 Replies
248 Views
Habar wana jamvi, Nimefungua ki studio cha kurusha Movies, hivyo nilikua nahitaji kununua Desktop mpya ila sina uzoefu nazo Nahitaji mwenye kufahamu anipe ABC zake yaani niangalie nini na nini...
2 Reactions
2 Replies
348 Views
Nauza Camera Canon 60D bei 650000 laki sita Na Nusu. Namanisha body bila lens. Napatikana kupitia 0782373183. Nipo ubungo River
0 Reactions
3 Replies
513 Views
Tv: inch 55 Aina: Star X 4k Bei:850k Mahali:Dar es salaam nb;haina tatizo lolote
0 Reactions
8 Replies
670 Views
Wakuu mimi naomba connection ya chumba master kiwe Kijitonyama, Magomeni au Kinondoni.
0 Reactions
0 Replies
914 Views
Habari wadau, Karibu ujipatie internet mifi za airtel kwa shillingi elfu 50 tuu. inaunganisha zaidi ya watu 10 kwa umbali wa mita 100, na vifurushi vyake ni vizuri na speed ya uhakika karibuni...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Karibuni wateja wetu wa car parking shades nzuri call/ WhatsApp 0687897026
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Dish installation i Dish service i Dish replace i Dish. Maintance popote in dar tunafika call me now on time trust. Call now 0675160551
0 Reactions
2 Replies
246 Views
Bajaji TVS inauzwa milioni 2.7, imetumika na bado iko kwenye hali nzuri. Bajaji iko sinza, karibu kwa ukaguzi. Piga namba 0688066177 kwa maelezo zaidi, ahsanteni.
0 Reactions
2 Replies
841 Views
Sisi ni wauzaji wa home decoration na home appliances,tunauza Mashuka Duvets Vyombo vya aina mbalimbali Pazia Indoor shoes za jinsia zote hadi watoto GHARAMA ZETU NI NAFUU MNOOO...
1 Reactions
25 Replies
1K Views
1. Measuring tape 100m/ 330 feet@ 20,000/= 2. Mashine ya kukanda ngano 2kg @ 40,000/= 3. Selfie stick Mahali- Mbezi kimara mwisho. Contact- 0758 597106
0 Reactions
1 Replies
420 Views
Nauza mafuta ya alizeti kwa jumla na rejareja. Dumu la 5ltrs kwa 25,000 tu na 20ltrs kwa 96,000 tu. Mzigo upo Sinza, Dar.
3 Reactions
0 Replies
671 Views
Waungwana natumaini mko poa mko wengi wenye makampuni nimeamua ku-share hii kitu tupeane rizki/connection napokea contract za kuosha gari za aina yoyote especially truck, mabasi na gari nyengine...
0 Reactions
0 Replies
345 Views
Habari Wakuu, Nimeona ni Vema ni share naye kama Watanzania wezangu Fursa hii Ambayo itakufanya Uingize kila Siku sh 50,000 kwa juhudi zako. FURSA YENYEWE Mimi Nashughulika na uchinjaji Wa...
20 Reactions
69 Replies
4K Views
Mwenye uwezo au kama kuna mtu anamfahamu mtaalamu wa kutengeneza ANIMATION tafadhali tuwasiliane inbox
2 Reactions
0 Replies
258 Views
Make: Nissan Model: Civilian Model No: RW40 Chassis No: RW40030035 Engine No: TD42093733 Engine Capacity: 4169 Number of Axles: 2 Mawasiliano Bei mil 27 0622 033 117.
0 Reactions
0 Replies
310 Views
Wana JF natafuta nyumba ya kupanga Mtwara, nahitaji vyumba viwili vya kulala na sebule.Napendelea zaidi maeneo ya Kiyangu.Ahsanteni.
0 Reactions
17 Replies
5K Views
Kutana na wataalamu wa kufanga mifumo ya umeme majumbani,ofisini na kumbi mbalimbali kwa mifumo bora ya kisasa na salama. Pia tunadesign mifumo ya mwanga wa dari (ceiling), makabati (Cabins)...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wapendwa. Kwa Anayehitaji Msaada wa kupata Magodoro ya Tanfoam moja kwa moja kutoka kiwandani. Nipo kumsaidia. +255746482119/+255757637525
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu habari za wakati huu Ningependa kujua kati ya kampuni tajwa hapo juu, ni kampuni gani ambayo hutoa magodoro mazuri na yenye ubora, ambayo ukinunua hutajutia hela yako(Nikimaanisha sio...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Back
Top Bottom