Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Tunawaletea fryer nzuri na imara za gas pamoja na umeme Fryer za gas zina kibiriti chake kwa ndani. Zinapata moto haraka Kila bakuli lina uwezo wa kuchukua lita 6 Bei: Double gas fryer...
1 Reactions
78 Replies
10K Views
salama wakuu? jamani nataka kununua godoro toka kampuni ya tanfoam. nataka kujua lipi bora kati ya 6*6 nchi 8 na 6*6 nchi 10. lipi linafaa zaidi?
1 Reactions
4 Replies
2K Views
KWA HAPA TANZANIA Hakuna kitabu au documents yeyote ya kukuongoza wewe mgeni kufanya biashara ya KUNUNUA MADINI zaidi ya kitabu hiki cha MWONGOZO wa biashara ya kununua madini ni HAKUNA...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wadau kuna liquid soap fulani wanatumia kwenye mahoteli makubwa ambazo wanazijaza kadiri zinapopungua. Kwa walioishi ulaya mtakuwa mnazijua maana kule ni kila hoteli zinapatikana. Swali naweza...
1 Reactions
23 Replies
2K Views
2004 1490cc 70,000 Kms Haina tatizo lolote Upanga - Dsm Call: 0717 650800
1 Reactions
9 Replies
854 Views
Nauza kiwanja chenye ukubwa wa ft 80 kwa ft 50 kinapatikana Mkuranga Kisemvule njia panda ya kibamba bei 2.5ml Kwa mawasiliano 0712150581. Karibu sana
0 Reactions
4 Replies
999 Views
Nauza Kiwanja kilichopimwa Square miter 296 Jirani na Azam Factory Mwandege. Kiwanja kipo katika mazingira tulivu umeme upo umbali wa mita 16 tu. Maji masafi unavuta kwa jirani mita 25 tu Kiwanja...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
REALWOOD LTD, ni watengenezaji na wauzaji wa milango aina ya mbao na vifaa vya milango. Tunatengeneza milango ya mbao ngumu tunatumia mbao ya mkongo (Hardwood)na milango ya mbao ya kawaida...
0 Reactions
35 Replies
13K Views
njoo ione vyumba 2, kimoja master na sebule nzuri kabisa.. ipo wilaya yai IKUNGI SINGIDA
1 Reactions
5 Replies
437 Views
Habarii Wana jf,Nyumba ya room tatu moja Master room,sebule kubwa, public toilet,store pamoja na jiko,ina uwanja wa 15mx30m ipo misungwi mkoa wa mwanza mawasiliano +255 769 088 152.
0 Reactions
4 Replies
577 Views
Wakuu habari za majukumu; Kama kichwa cha habari kinavyojieleza kuwa Nissani Patrol (chura) toleo la kuazia 1995 inahitajika, kwa yeyote anayeuza amesikia inauzwa mahali naomba aje pm au unaweza...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Nyumba inauzwa ipo Mwanza wilaya ya Misungwi, ina vyumba vitatu kimoja master, sebule kubwa, dinning room pamoja na jiko, inauzwa kuanzia million 25. Uwanja umepimwaa na haina mgogoro wowote...
0 Reactions
19 Replies
1K Views
Tunauza Mashine ndogo za kufulia mpya kabisa kutoka china. Zinafua, Kusuuza na Kukausha. Brand Ni JF, Ni Imara sana na ikikusumbua ndani ya miezi mitatu tutakabadilishia mashine mpya kabisa...
1 Reactions
37 Replies
7K Views
Habari wakuu, Ikiwa una nyumba yako na unajiuliza ni wapi utapata mapazia au Mabomba ya mapazia pamoja na installation (ufundi) basi leo umepata suluhu kwani sisi tunaweza kumaliza tatizo lako...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Nyumba mbili zinauzwa Sengerema Mjini Mwanza, zote ni nyumba zenye vyumba vitatu na sebule, jiko, dining na master bedroom moja ambayo ni selfu! Nyumba Moja imekamilika, nyingime haijakamilika...
0 Reactions
5 Replies
918 Views
Nauza Begi la mkono mmoja 8000 tu na Moderm ya Voda bei 7000 tu Vipo mbagala kizuiani Kwa mawasiliano njoo P.
0 Reactions
0 Replies
447 Views
Zimenyooka kama unavyo ona kwenye picha Bei ya kila moja ni 2,150,000/= Maelewano call 0713579248 Zinapatikana Dar es Salaam
1 Reactions
22 Replies
1K Views
Jipatie nakala za vitabu vya riwaya pendwa za Kamanda Amata Sasa. Wahi katika sehemu hizi[emoji116]ukamate yako... HARUFU YA KIFO Tsh 12,000 MPATANISHI Tsh 12,000 Dar es salaam °Duka la Kona ya...
0 Reactions
2 Replies
858 Views
If you know wharra am saying. Maana huwa tunajitia umaajumui sana katika mambo tusiyoyajua.
0 Reactions
2 Replies
511 Views
Habarini wakuu. Hivi ni kwanini watu hujenga kwa ramani za kufikirika tu zisizokuwa na mpangilio wa kitaalamu. Yaani umejibana kukusanya milioni zako flani, unamtafuta fundi na kumtajia idadi ya...
6 Reactions
37 Replies
7K Views
Back
Top Bottom