Habari wandugu
Karibu tukuhudumie. Tunatoa huduma za kubadili documents toka Swahili to English or English to Swahili. Pia tunafanya Grammar check, conversion to pdf from/Excel, word. Bei zetu ni...
Ndugu zangu habarini,nimepata mashine ya kutengeneza popcorn nakarbisha support zenu Kwa tenda za harusi ukumbin.
Pia hata MTU akiwa na connection na malls wanapocheza cheza watoto pia...
Ndugu zangu habarini,
Nimepata mashine ya kutengeneza popcorn nakaribisha support zenu Kwa tenda za harusi ukumbin.
Pia hata MTU akiwa na connection na malls wanapocheza cheza watoto pia...
Habari,
Nahitajii mtu wa Marketing mwenye uzoefu wa kutafuta wanafunzi kwa ajili ya vyuo vikuu.
Vyeti si muhimu, kama uko tayari nipigie tuongeee 0678650509.
NB: Wakazi wa Dar tu.
Habarini mwaka ndo ushaanza hivyo,
Ipo hivi unaweza ukawa unatafuta chumba au nyumba au hata kiwanja chenye specification flani unazotaka, lakini madalali watakuonyesha kitu tofauti kabisa...
Habari wana jukwaa,
Nahitaji kitanda cha foot 5 kwa foot 6
Mahali ni Dar
(Ikiwezekana kesho itakua vizuri zaidi)
Offer 100k
Kwa mwenye nacho nipe taarifa kupitia.
0785 857564
Tupo kwaajili yako wewe mjasiriamali na mfanyabiashara katika kukusaidia nyanja mbalimbali ya kuipa thamani biashara yako.
Je, Biashara yako yako inahitaji kutambulika kisheria?
Je, Biashara yako...
HABARI,
Husika na kichwa cha habari hapo juu, Nauza migebuka kutoka kigoma kwa gharama ndogo tu ya shilingi elfu 2 mmoja mkubwa. Nakuletea mpaka ulipo kwa wakazi wa Dar Es Salaam endapo utaanzia...
Napenda kuwatangazia kuwa kiwanja kinauzwa, Taarifa za kiwanja [emoji116]
[emoji117] Mahala - Kata ya Mjimwema, wilaya ya Kigamboni, Dar es salaam.
[emoji117] Ukubwa ni mita 60 ×mita 50...
Jamanieeee... Heshima zenu wakubwa!
Maisha ya kupanga yamenichosha! Natamani sana ninunue kiwanja nianze ujenzi maana nikifikiria kodi ya nyumba + frame ya biashara nahisi kuchanganyikiwa tu...
Boomplay, App namba moja ya kusikiliza na kupakua muziki barani Afrika, imeshirikiana na Kampuni ya Mawasiliano ya simu, Halotel kuzindua kifurushi cha ‘Boomplay na Halotel’ ikiwa ni sehemu ya...
Ninauza mabox ambayo hayana kitu, box lina upana wa nchi 11 na urefu wa nch 17.5 box lina kina cha inch 17. Ukiitaji kuanzi 70 unaletewa bule ukiwa Dar, kila box moja bei ni sh 1000.
Unaweza kuja...
~ Funga mfumo wa gesi asilia kwenye gari lako
~ Mfumo wako wa petrol au diesel uliopo hauondolewi unabaki
~ Kwa Mtungi wa kilo 15 gesi asilia unaogharimu shilingi 22,500 unatembea kilomita 200...
Mambo vipi wana jukwaa mko poa, wazima nyote, nije kwenye shida yangu hii, nauliza naweza kupata mkopo wa kama sh laki moja bila riba, au kama riba ipo iwe nafuu kidogo,
Kuna shida naitaji...
Habari,
Mwenye picha za bikes kali used zinazouzwa tafadhali nahitaji moja na nipo Dar es Salaam.
Kaka Pascal Mayalla please ni tag kwenye ule uzi wako wa bikes.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.