Jamani ndugu zangu nina shida na simu ya button toleo za nyuma kama Nokia vile vidogo.
Tafadhali mwenye nayo hela yake iko mfuko wa shati!
Naomba kuwasilisha
Welcome to Outdoor cleaners.
We are commercial, industrial and residential cleaning services company with full registration and more than 5 years of experience.
Our Cleaning services include;
Ø...
Habari wa jukwaa (jamii)
Napenda kuwakaribisha kwa wale wenye uhitaji wa containers kwa ajili matumizi mbalimbali.
Containers zipo za 20feet na 40feet
Kuna used from Japan zilizotumika hapa...
Habari,
Maabara ya Afya inauzwa .
Imekamilika kila kitu na tayari ina kodi ya miaka 6. Sio miezi ni miaka.
Location: DSM
Ipo SAKU- CHAMAZI
Ipo stand kabisa ukiangalia picha vizur utaona, haina...
Shamba lenye ukubwa wa ekari 500 (mia tano) linauzwa @ekari ni laki moja na ishirini 120000.shamba ni zuri naharina longolongo na linafaa kwa kilimo cha umwagiliaji na ardhi yenye lutuba...
Kariibu ofisini Magomeni Dar
Android ya IST, Rumion, Passo, Rav4, Vitz, Subaru, Noah n.k utaipata kwa 250,000
[emoji419]Ikiwa na 32 memory GB yenye uwezo wa kukopy vitu kwenye flash na memory car...
Drone Logistic tumekuwa tukiwasaidia watanzania ushauri bure juu ya bidhaa bora toka nje ya nchi na jinsi ya kuziagizia kwa ufanisi. Safari hii,tumeamua kukuletea Computer kwa bei ya e-bay ,wewe...
Habari,
Watu kadhaa wanapenda kuanza kazi ya kupiga picha, au wengine ndio wanaanza.
Kuwa na ujuzi ni jambo zuri linaloweza kukusaidia iwe unataka picha za binafsi au mpiga picha kibiashara...
Ninauza cherehani mbili zikiwa na meza zake za kushonea
1. Singer
Ina mota ya umeme
Location.. Dar es salaam Mikocheni B
Bei: 320k
Mawasiliano piga +255 786 407 039
Mzigo mwingine huo hapo; epuka usumbufu wa kukatika umeme mara kwa mara; solar kubwa hiyo hapo kwa bei Poa; vioo viwili vyenye ubora wa hali ya juu na bado vipya kabisa: kila kimoja watt40 Jumla...
Nauza saa English Gold hazipauki haraka na wallet zenye ubora mkubwa
Nafanya delivery dsm na mikoani
Bei: Saa 35,000/=
Wallet 25,000/=
Location: Mbezi, Kimara
Contact: 0626903619
Hujambo?
Kutoka Alpha Mobile Tutors (ALMOT) unaweza kukodi Mwalimu wa Masomo ya mchepuo unaotaka kusoma mwaka huu kwa kidato cha tano.
KWA NINI UKODI?
1. Mwalimu atakuwa karibu na Mwanafunzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.