VOCHA NI TSH 6000 TU KWA MWEZI NA SI VINGINEVYO MWAMBIE NA MWENZIO
HATUA CHACHE HIZI HAPA
1.Hakikisha una laptop au desktop kisha install java7 au 8 ila nzuri ni java 8 kama hujui jinsi ya...
wakuu nauza laini yangu ya uwakala wa tigopesa imesajiliwa dar es salaam kwa anayehitaji nipigie simu 0654404707.Bei in tshs.550,000/= ila maongezi yapo.
Aje Aje wazee wa bizna?
»Nahitaji spare tyre vile vidogo venye rangi ya njano kama unayo weka bei au ni PM tufanye biashara napatikana dsm na arusha tu
»Pili Samsung Gallaxy Grand Duos...
Nahitaji laptop iwe sifa zifuatazo
Iwe hp nyeusi
Ram 2gb
Hard disk 320
Iwe inakaa na chaji hata kwa lisaa limoja
Bei iwe 240000
Ni pm for offers
0765464630
Hello, naomba kwa yeyote mwenye idea ya zinapopatikana POWER BANKS, hapo Dsm. Sihitaji nyingi sana. Mimi huwa naagiza China na kusupply madukani na kwa wadau wengine, sasa mzigo wetu (KIMI DEV...
Jamaa msaada wa vitabu hivyo mwenye navyo, copy yeyote ila Hardcopy itakua bora zaidi.
Shetani Msalabani na Matigari. Mwenye nacho naomba aeke namba yake iwe rahisi kumfikia au atumie yangu 0712...
Pata samsung s3 kwa bei ya sh. 420,000/= tu. Simu ndo zinaingia leo but izo za ofa ni simu 10 tu ndo kwa 420,000 nyingine bei zetu ni 460,000 tu.
specifications.
screen size 4.8
Ram 1 GB...
Kuna heka 20 za ukweli zinauzwa Mwanzomgumu,kunafaa kuchimba kisima na pia kuna mradi wa bomba la maji unaendelea.Kuna nyumba ya bati,ni umbali wa 30 toka Chanika mjini.Bei ni za maelewano,Kama...
CHUO kinawatangazia nafasi za Diploma in Clinical officer na certificate take.Diploma in Pharmaceutical Sciences na certificate.Kuna nafasi za JIONI kwa kozi zote.Kwa maelezo zaidi pig a 0769566282
Tab tajwa hapo juu inauzwa na inasapot matumiz ya kawaida ya line kama kupiga na msg na itatumia application zote.
Bei ni kuanzia laki 4 na maelewano yanakaribishwa.
Haina tatizo lolote
Ili kujua...
Jamani niko na duka la vyakula na matumizi mengine ya nyumbani, nahitaji mtu wa kuwa naye share, maana nina kazi nyingi sana hivo siwezi kuwa dukani Muda wote, duka lina mtaji wa 4. 5 million...
Ok naona watu wengi wanalalamika kuhusubei..........! Nakuhakikishieni kwamba kwa bei hiyo hautakuja jutia kwa hapa Arusha na sehemu yenyewe, najua hii barabara ya EAC na mambo mengine yatayojiri...
Nahitaji kusafirisha pikipiki yangu mpya kwenda Tabora kwa bei nafuu. Msaada wanajamii forum, nahitaji mawazo yenu au kama kuna kampuni inahusika na usafirishaji mizigo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.