Wakuu kwema,
Kiwanja cha hekari 10 kinauzwa Singida eneo la Mandewa karibu na hospitali ya rufaa, km 6 kutoka round about iliyo karibu na uwanja wa peoples,kila heka inauzwa milion 3, eneo...
Nyumba mbili zenye vyumba vinne kimoja kikiwa ni master,jiko store,sitting room na dining room kwa kila nyumba moja,
zina eneo la ukubwa wa squire meter 1000 kwa kila moja
bei ni milioni 200kwa...
wakuu habari zenu.. nauza lumia 1320 ipo katoka hali nzuri. battery life ni almost 3 days hata kama umewatch series episode 12..kioo kiko protected na kioo kingine. Any offers? 0766400150
UPDATES...
Habari wajumbe,
Samahani wajumbe ila nlikua naomba msaada wa kujulishwa gunia moja la mchele na la maharage linauzwa shillingi ngapi maeneo ya sokoni Tandika.
Ntashukuru taarifa
Wakuu, naombeni msaada kwa yeyote anayejua ni wapi na weza kupata bidhaa zifuatazo kwa wingi naomba anielekeze na ninatanguliza shukruni.
1.Pumba za ngano kuanzia tan 30
2.Pumba za mpunga kuanzia...
Nyumba kubwa ya vyumba vinne,public toilet,sitting room na jiko
pia ina nyumba ndogo kwa nyuma ya vyumba viwili kimoja ni master na store inauzwa iko tabata kimanga bei ni milioni 80
ina hati...
Shamba la ukubwa wa heka 50 linauzwa Korogwe halijawahi limwa wala katwa mtii. Ni eneo zuri kwa kilimo kwakuwa ardhi inarutuba,kwa mwenye uhitaji anitafutee kupitia nambaa hii 0716623022.bei ni...
Ninauza power banking jumla na reja reja na zina warrant ya miezi 12 pia zina uwezo wa kuchaji cm hadi nne kwa mara moja.ni power banking zenye nguvu ya ajaaabu. kwa atakae hitaji tuwasiliane...
Wadau habari za leo?
Nahitaji kununua gold/dhahabu used au mpya ila iwe genuine (halisi) inaweza kuwa mkufu,pete,hereni nk.Lengo ni kupata gramu tisa au kumi.
Kama una uza tafadhali njoo PM AU...
Kiko Goba mwisho Dar-es-salaam,ukubwa wake ni Sq meter 1800 + msingi wa ngumba kubwa, gari inafika na umeme upo jirani sana. Bei inaanzia 25mil maongezi yapo na kwa aliye serious ani pm tunaweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.