Habari wakuu
Nauza kiwanja changu kilicho pimwa,kwasasa nafuatilia hati ila offer ipo tayari.Bei yake ni sawa na bure kulingana na eneo kilipo na ukubwa wake
Kilipo: Kiwanja kipo barabarani...
Wadau wana JF natafuta kiwanja hapa Dar es Salaam, bajeti yangu ni Millioni 2, mwenye nacho tafadhali atiririke hapa akisema location, ukubwa wa kiwanja na miundombinu ktk maeneo husika. Asanteni!
Pata samsung s3 kwa bei ya sh. 420,000/= tu. Simu ndo zinaingia leo but izo za ofa ni simu 10 tu ndo kwa 420,000 nyingine bei zetu ni 460,000 tu.
specifications.
screen size 4.8
Ram 1 GB...
Kuna chumba na sebule jiko pamoja na choo chake maeneo ya savei dakika 5 kwa mguu tokea mlimani city. Bei ni shilingi 150,000/= inaitajika kodi ya mwaka. Maji yapo 24/7. Hakuna malipo ya dalali...
Kama ungependa kuwa wakala wa benki, tuwasiliane kwa namba 0754-730813
Vitu vya kuzingatia
1. Soma Page number 5 na 6 kwenye hii guideline ya BOT kujua kama umekindi vigezo vya kuwa agent...
habari wakuu
nataka modem universal au hata ya vodacom inayochakachurika , nahitaji sana , nipo ubungo dar , offer yangu 20 tsh mpaka 15 tsh
contacts: 0716282670
0759146483
Kabla ya kesho...
jaman mm n mwanafunzi wa mwaka wa
kwanza ifm pale sasa natokea mkoani na
hostel nahisi kukosa sasa kwa anaejua
vyumba vilivyopo makumbusho na bei kwa
mwezi anitajie na aache no yake hapa...
Did you know? Just as motor vehicles need services, laptops need them too. The interior part is usually covered with thin dust, which can block the air ventilations and the fan, causing your...
Mimi naishi hapa Dar..Nina Desktop Computer zangu nane, natamani sana kuanzisha Training Centre ingawaje mimi sitakuwa nafundisha..Natafuta mtu ambaye tutashirikiana katika mtaji huo, yeye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.