Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Inauzwa kama ilivyo ni pm
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Welcome everybody! Tupo kukusaidia kukuza Biashara yako.Karibu upate huduma zetu kwa mafanikio bora zaidi. Tuwasiliane kwa huduma popote ulipo. QBS LTD. For reliable solutions to your business.
0 Reactions
0 Replies
853 Views
Mimi ni mwajiriwa wa serikali,nna mwaka 1 na miezi nane kazini,natafuta sehemu ya kukopa yenye riba nafuu,maana nimeenda bank ya NMB unakopitia mshahara wangu,wananiambia mpaka niwe barua ya...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Kwa specification gsm arena andil of ur interested Cheki me 0717297923
0 Reactions
0 Replies
614 Views
wadau Ninahitaji Bajaji ya kununua mawasiliano yangu ni 0785151618
0 Reactions
4 Replies
941 Views
Habari zenu jf,natafuta trailer la kukodi liwe na hadhi nzuri na sixty five iwepo. Liwe tayari kwa safari Malipo kwa mwezi nitamlipa Simu namba +255 753 030 220 aliyekuwa tayari.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Greetings, 23 surveyed plots on sale for a reasonable price. They vary in sizes ranging from 500 sq.mtr -3000 sq.mtrs the price pr sq. Metre is 7500 negotiable. Distance is 4km from main road...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
habari wakuu nauza adapta yangu ya dell bei tshs.40000/=. napatikana dar es salaam.bei inapungua kama waitaka nipigie 0654404707.
0 Reactions
1 Replies
932 Views
Nafanya packaging ya zabibu fresh kutoka shambani Dodoma kwa mwenye supermarket au mwenye connections na managers we can make bussiness
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Waungwana nataka kuanza ujasiriamali kwa kufungua duka la nguo. Kwakuwa mtaji wangu si mkubwa kuniwezesha kufuata mzigo nje ya nchi naomba kama kuna watu wanaagiza mzigo toka nje na kuuza kwa bei...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari zenyu wakuu, Nauza desktop Dell GX270 PENTIUM4(PICHANI) Hard disk 40GB, processor 2.8GHZ, Ram 512MB, DVD room. nauza pamoja na kila kitu chake (monitor ya chogo) bei ni 160K. Haina tatizo...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Body ni silver ni automatic. Ipo katika hali nzuri ipo dar nicheck kupitia 0682111140
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Mwenye nayo iwe mpya au imetumika anitafute.Ila iwe ni orgnal ndio tufanye biashara. Mawasiliano 0783905864
0 Reactions
0 Replies
673 Views
H&M perfume set elfu 50
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwa mwenye uhitaji wa kuku wa kienyeji kwa ajili ya kula na kufuga awasiliane na mimi nauza wa umri tofautitofauti kwa bei nafuu na ya kuridhisha kabisa, karibu tufanye biashara,pia ukihitaji...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Nyumba iko salasala Rtd ina vyumba vitatu vya kulala kimoja master jiko stoo kubwa bafu na toilet za kushare kwa vyumba viwili living room kubwa haijamalizika kama inavyoonekana.200ml call...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari wana JF. Ninasambaza mahindi na mchele toka mikoani yenye quality standard nzuri. Pia vyakula vingine nina supply pia kulingana na mahitaji ya wateje. Kwa mahitaji piga simu namba...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habarini za kwenu wadau? Nimatumaini mu bukheri wa afya. Sasa ngoja kwenye topic. Nikwamba wadau wangu wa jukwaa naomba msaada wenu. My huawei y 330 imepasuka display yake baada ya kudondoka...
0 Reactions
1 Replies
889 Views
Pata GG JEWEL Lipstick kwa punguzo la 50%.. Jiunge na Oriflame mwezi huu upate lipstick ya sh. 26,000/= kwa bei ya sh.10,000/=..Kujiunga ni sh.9,000/= kwa maelezo zaidi tutafutane 0757165003
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ok naona watu wengi wanalalamika kuhusubei..........! Nakuhakikishieni kwamba kwa bei hiyo hautakuja jutia kwa hapa Arusha na sehemu yenyewe, najua hii barabara ya EAC na mambo mengine yatayojiri...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom