Nauza shamba lenye ekari 21,lipo eneo la losinyai (custom) karibu na mirongo sehem magari yanachukulia mchanga, kila eka moja ni milion 1, shamba linauzwa lote haligawanywi.
Habari wana JF, nahitaji kwa yeyote mwenye printer ya Hiti cs-320 au inayofanana nayo, au ni duka gani zinapatikana kwa hapa Dar? Nimeunganisha na picha kwa asiyeifahamu.
Changing community perspective is our responsibility,telling culture story is our duty as well so please join us on Moving Tanzania project so that we can change the landscape of the media in...
Kama una decoder ya DSTV used ikiwa na Smart card yake naitafuta ya kununua
N:B Uwe umeinunua kabla ya mwaka 2010
Na kama unazo decoder nyingine e.g Ting,Continental,Azam,zuku,startimes ya dish...
Shamba pamoja na mazao yake liko Tarime.Lina ukubwa wa ekari 8 na liko karibu sana na mji.Bei yake ni maelewano sema mazao yake nakwambia mapema unatakiwa ujipange ila hayasumbui katika kuuza...
Wataalam waliobobea katika kufunga security camera, na kuona kila kitu kinachoendelea sehemu yako ya kazi, dukani, ofisini, hotelini na n.k ukiwa popote duniani. Wanao mafundi waliobobea.
Kwa...
Habari wana teck.
Nahitaji printer yenye uwezo wa kuprint cd .
Mwenye nayo aweke picha na bei ya hyo printer tafadhali.
NB
Inawahusu wale walio serious na biashara tu.
Hello wadau nahama mji Free to air satellite dish+decorder yake Strong brand naiuzwa kwa 170,000/- tu nipo Uyole Mbeya,pia ile sofa bei 700000 7 seaters vyote vipo ktk hali nzuri...Check me on...
Wadau wa jukwaa,habari za majukumu.hope mnalisongesha life kama kawa.
.Hii inamuhusu yoyote mwenye king'amuzi cha startimes ambaye anataka kukiuza anakaribishwa tufanye biashara.Bajeti yangu ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.