Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Dodoma Mjini, Nzuguni kitongoji cha Nyerere kuna kiwanja ninauza ni kikubwa 35 kwa 38 bei M2 Mawasiliano 0766 562050
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Waungwana nauza Peavey electric guitar nipo Mbeya bei hiyo chee! Nipm au request nikutumie picha zaidi on whtup 0716676947 kama unalihitaji
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nauza huawei ascend y300 ipo in good condition haina mikwaruzo inamda wa miez miwili. Bei ni 160 tu.
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Kiwanja kinauzwa kikiwa na nyumba ambayo haijamalizika yenye vyumba viwili vyote ni master,sitting room,jiko,store na public toilet. kiwanja kimepimwa na kina hati na kina ukubwa wa squire meter...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Hi Chefs I'm very glad to announce this to you,natural food flavors now are available in Tanzania(are manufactured here in Tz),say goodbye to artificial food flavors for sake of your health and...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Kwa mtu yeyote anayejua duka linalouza Photo emulsion naomba msaada aiseee ndani ya Tanzania mkpa wowote nitanguliza shukrani.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nauza hita ipo poa imetumika kidogo tu ipo dar Temeke bei elf 30 simu 0755984282
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Toyota Rav4 T...DAH odometer reading 82,000km all duties valid until 2015 Price 26m serious buyer only for more info call 0714478797 gari ipo Arusha
0 Reactions
0 Replies
771 Views
Habar wana jf kuna gar linauzwa ni aina ya paso details zake ni hzi zfuatazo Classified IDID16648 Price7,000,000TZS CategoryCars Location Dar es Salaam, Tanzania Total views15xGood condition...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Natafuta rav4 Milango mitano yenye taa ya ngazi za nyuma
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ni sanlg 125 Bei 9,50,000/= Piga 0714 045080
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Small medium businesses (SMB’s) often confront this business decision and tend to rely on unrealistic numbers that lean towards buying In-house servers. The reasons laid out below will give you...
0 Reactions
0 Replies
745 Views
Habari wandugu, Inahitajika Pointer kwa ajili ya projectors..zinakuaga za laser beam..kwa ajili ya presentation, kama unafahamu hata duka zinapopatikana, ntashukuru ukinifahamisha. 0763850934...
0 Reactions
2 Replies
856 Views
Mkumbata electrical installation & electrical goods supply tunahusika na ufanyaji kazi za wayaringi nyumba za kawaida kuanzia chumba kimoja , maghorofa, magodown n.k. pia tunafunga mashine za...
0 Reactions
0 Replies
965 Views
nataka reseiver strong mpg4hd used kwa ambaye anayo anitafute kwa namba hizi 0783905864 au 0754288065
0 Reactions
0 Replies
858 Views
Wanajamii kwa yoyote anayehitaji unga wa sembe na dona unapatikana katika ujazo wa kg 5 kwa sh 4000 kg 10 kwa sh 8000 kg 25 kw sh 17500 na kg 50 kwa sh 35000 pia kwa wafugaji pumba zipo kwa bei...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
The Darproperty magazine features top properties for rent/sale from top real estate agents, developers and trusted sellers.
0 Reactions
0 Replies
657 Views
1) Kiwanja chenye urefu wa metre 45 na upana metre 25, sifa zake ni kama ifatavyo..... Kiko umbali 0.5 km kutoka barabara kuu itakayo kigamboni kwenda Kongowe. kiko mita 10 kutoka barabara ndogo...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Nissan, automatic Inatumia petrol Bei 13 mils Picha hapo chini
0 Reactions
0 Replies
857 Views
Habali zenu wana JF,hivi kwa mfano mtu unaandaa au kutengeneza business proposal yako kwa minajili ya kuuza hyo proposal yako kwa mtu mwenye uwezo wa kufanya hiyo biashara au project jee waweza...
0 Reactions
0 Replies
569 Views
Back
Top Bottom