kwa mtu yeyoye ambae anauza video kamera yeyote yenye vigezo vyote na HD Nanunua. Ningepata CANON ingekua bora zaid au aina yoyote ambayo iko poa nahitaji
kwa mawasiliano zaidi kama unayo...
habari wakuu....nauza simu yangu ya huawei model tajwa.....bei maelewano...simu ipo katka hal ya ubora n nzima kabisa..lengo la kuuza n kwamba natumia sony so sina haja na simu mbili...npo dsm.ni...
Wakuu naomba ushauri:
katika wiring ya umeme wa nyumba kuna huu waya unaotoa umeme kwenye nguzo kuingiza kwenye main switch je huu waya unaruhusiwa kuugwa? kuna fundi amefanya wiring na ameunga...
Jamani nina project ya duka la nyama la kisasa(Butcher) nataka kuifanya, vitu vingi nimeshapata ila sasa ninachohitaji ni mashine ya kusagia nyama. Iwe na uwezo angalau wa kusaga kilo 10 kwa siku...
Kupitia kampuni ya ASSA AGENTS & CO. , sasa vidonda vya tumbo vinatibiwa na kuweza kupona kabisa.
Pia kuna dawa nzuri za kusaidia/kutibu Asthma, Pressure ya kupanda, Pumu, Kuongeza kinga ya mwili...
Kiwanja kinauzwa maeneo ya Malaika Beach Pembeni ya ziwa
UPANA: 40
UREFU: 60
Bei Milioni 200
Na sio hivyo tu tunavyo vingi sana , Pamoja na kununua majumba ya kununua.
Mawasiliano: 0763 385 995...
Kiwanja kipo jirani na shule na hospitali ya mabwe
kipo eneo zuri pamechangamka sana
eneo ni safi na ni nje ya eneo la mradi, panafaa sana kwa uwekezaji wa mifugo na makazi
VILE VILE
Kama...
Natafuta mtaalamu wa kutengeneza website au blog (interactive) kwa ajili ya vijana wa skauti. Pia nahitaji mjanja wa kuanzisha topic wiki-pedia (nilijaribu kuanzisha wakanistukia nafanya promo)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.