Mimi ni mjasiriamali ambae nina Incubator ambayo kwa wastani inafyatua vifaranga vya kuku elf 12,600 kwa siku 21, mashine hii inauwezo pia wa kutotoa mayai ya bata mzinga. Nahitaji kujua ni wapi...
Habari wadau!
Asali mbichi ni miongoni mwa suluhisho rahisi sana la kuondoa kitambi kwa wale wenye vitambi wasivyovihitaji. Chemsha maji kisha yamimine kwenye glass yenye unga wa mdalasini kiasi...
Hey wanaJF nauza Mchele na Mpunga, napatikana Morogoro. Kwa gunia moja nauza 65000/= ambapo ukikoboa unapata sio pungufu ya kilo 62-65 kg. so let's do business
Habari za leo wana JF? Hope mko poa kabisa.
Nauza digital camera aina ya Olympus, 16MP, X5 zoom na. picha zake ndio hizo hapo chini.
Ni brand New kabisa nimeletewa from UK.sijaitumia.
Nauza...
TUNA "DESIGN" NYUMBA ZA AINA ZOTE..GHOROFA NA ZA KAWAIDA....PIA HUDUMA YA USIMAMIZI NA UJENZI IPO.
PATA RAMANI KWA BEI NAFUU: NYUMBA YA KAWAIDA - 300,000/=...
Ukihitaji wax original nitafute usiogope napatikana Dar es salaam, utaletewa popote... dot 1, sh.45000...
Pia kuna vitenge vya hitaget dot 1,sh. 40,000 unakaribishwa sana.
Kiwanja kinauzwa chenye ukubwa wa ekari 4 (squire meter 16690) kiko kunduchi beach ufukweni kabisa
kimepimwa na kina hati pia kiko ndani ya fensi bei ni $1.8 mil.
mawasiliano zaidi piga no.
0714358610
kiwanja chenye ukubwa wa squire meter 500 kinauzwa kiko tabata mawenzi kimepimwa na kina hati bei ni shilingi milioni 60 mawasiliano zaidi piga 0714358610
Habar zenu wadau. ninahitaji laptop used inayouzwa kwa alie kuepo Zanzibar. iwe na sifa angalau zifuatazo. RAM isipungue 2GB, Hard disk isipungue 320GB. alienayo naomba tuwasiliane.
1:Toyota Raum new model , light blue
2:Manufactured 2003
3:Arrived in dar-es-salaam 22August 2014
4:Auto door,AC
5:Millege 75000 km
6:Comprehensive insurance.
Bei ni M11 negotiable . . ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.