Iwe na vyumba vya kulala viwili,sebule na kijiko.Iwe maeneo ya mkolani,nyegezi au buhongwa isiwe mbali kutoka barabara kuu(shinyanga road) isizidi 1.5m kwa mwaka,mwenye nayo anipm
Wadau nimeagizia gari toka Japan, naomba kwa mbaye alishapata huduma ya kutolewa gari lake bandarini vizuri na akapendezwa na huduma ya agent huyo anijuze ili nami niweze kumtumia.Naomba nisaidiwe...
Habari za Kazi wakuu.
Kama kichwa kinavyojieleza, tunauza na kusupply material za ujenzi, kama:
cement,
nondo - 6mm - 32 mm,
mbao (soft wood from iringa za size zote)
gypsum boards & powder...
Habari gani wana jf?, ninashamba hekari 20 maeneo ya BIGWA wilaya ya mkuranga mkoa wa pwani, shamba lipo katika sehemu nzuri karibu kabisa na kisima cha maji, pia shamba lina ardhi nzuri ambayo...
Je unahitaji nembo au logo itakayoweza kuwakilisha biashara yako mahali popote pale.Basi wasiliana nami ili uweze kupata logo iliyo simple na yenye uwezo wa kuwakilisha biashara yako mahali popote...
Gari aina ya Toyota Carina TI inauzwa Tshs 4,950,000 tu. Ina cc 1490, manual transmission for more details just call 0713 234224
Sent from my iPhone 4S using JamiiForums
Samsung galaxy S4 white original GT19505 used ipo kwenye hali nzuri ina charger na ear phone inauzwa 450.000tsh. Kama itakufaa nicheck kwenye namba 0716631317(unaweza kuni whatsapp)
Home theatre aina ya samsung yenye speaker 5 pamoja na king'amzi cha startimes zinauzwa kwa bei nzuri....home theatre kwa tsh 400000 na king'amzi kwa tshs 60000 bei zinapungua .....kama unahitaji...
Habari za leo.
Nina kampuni yangu ndogo ya kuchana mbao lakini tatizo ni soko la uhakika wa bidhaa yangu...miti inayopatikana ni teak, mvule, mwembe, msederea, mpopota.
kwa mtu yeyote anayehitaji...
Habari zenu wakuu. Napangisha nyumba ya vyumba vitatu kimoja master ubungo kibangu njia ya kwenda kwa mzee wa upako, pia ina tiles nyumba nzima na uzio. Umeme na maji yapo ya uhakika. Nyumba ipo...
Size 15*25,kina mawe tripu kumi na mchanga tripu taut.Hati hakina ila unaweza shughulikia ukaipata maana survey ilishafanywa jiji ila hawajapima eneo husika ispokuwa kama una hela yako unawafuata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.