Habarini wakuu, Ninauza mixer mashine mpya kwa ajili ya bakery.ni mpya na haijatumika bei ni 1.5 mill mazungumzo yapo,ina uwezo wa kumix kg 20 ,ipo dar.
Wadau nahitaji hiyo kitu bei yake yard ikoje? Kama kuna mtu pia anaiuza ambayo ipo in very good condition naomba aniambie bei yake, na vipi yard bei zake?
Nawasilisha
Vunja bei! Wauzaji cement ya nyati,diamond kwa bei ya jumla kokote ulipo ndani ya jiji hili la makamba. Bei 13000!
Naukuletea mpaka mlangoni wewe unalipa gharama ya kushusha tu
kuanzia mifuko...
Tafadhali naomba kusaidiwa kwa anayefahamu garage au mahala wanapofanya repea nzuri/Panel beating ya body
ya gari hapa dar; kwa gari iliyopata deep scratch and dents
Nashukuru
Wadau salamu,
natafuta chaja na mp3 player kwa ajili ya kutumia kwenye gari,nimekuwa nanunua hizi za barabarani zinakufa baada ya week tu.
Mwenye kujua duka au anaeuza tafadhali nijulishe.,
Jamani habar zenu??? Jaman wadada wenzangu nauza handbags of different brands like Gucci, MK & LV plz wadada wenzangu col me at 0683261365 ........ Popote ulipo Mzgo unakufikia
Habari wana jamvi,
nina viwanja vilivyopimwa nauza kwa bei ya tshs 6,500/= kwa mita ya mraba. Viwanja hivyo vipo kibaha msangani. Kwa maelezo zaidi nipigie 0755 939 001
Wakuu naomba msaada kwa hili,
Nimekuwa nikitumia Mitsubish Pajero GDI (siyo turbo cc 660) kwa muda wa miaka 2 sasa,
Tatizo limejitokeza la kuzimazima kila mara,nimesha badili plugs na vitu vingi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.