yoyote anaeuza mini laptop used ancheki..iwe hp, au samsung. Webcam sio lazima.
ram ianzie 2GB, nataka kwa matumizi ya kuifadhi documents tu.
bajeti yangu 220,000
alienayo ani pm namba...
Habari wana jf natumai hamjambo Nauza kiwanja changu kilichopo Kigamboni Kibugumo Daes salaam ni karibu na South Beach watu wamejenga umeme upo na gari inafika hadi katika kuwanja ukubwa ni upana...
Habari wana JF.
Simu aina ya Samsung Galaxy Note 3 (Clone/Copy) yenye sifa zifuatazo inauzwa.
Internal memory16gb,
Ram 3gb
Camera ya nyuma13mp
Camera ya mbele 2mp
Rangi Nyeupe.
NB: Simu ipo...
Wadau nipo Mwanza mjini, wapi naweza pata touch sreen ya hii simu. Simu ilidondoka na kioo kika-crack. Touch haifanyikazi kabisa. Hata hata kama inapatikana Dsm naweza agiza. Asanteni.
Habari zenu wana jf Nauza kiwanja changu kipo Kigamboni mjimwema Kibugumo karibu na SOUTH BEACH Sikikubwa sana bei 25,000,000 kwa yeyote atakae hitaji anicontact 0718403409 Plot no.1293 pic...
Mzigo wa vifaa vya solar umeingia nchini kwa bei poa ya kumaliza mzigo fasta fasta toka Japan. Guarantee ipo kama tutakufungia sisi wenyewe site kwako, ukinunua tu bidhaa utapata warranty tu. Mali...
HABARI MJASILIAMALI.
Nipo Iringa.
Kama unauza au unajua sehemu ambayo wanauza POOL TABLE nzuri na imara naomba msaada wako wa kuniunganisha mawasiliano coz ninalihitaji sana kipindi hiki...
Habari wanajamvi?
Naomba kujuzwa juu ya taarifa yoyote kuhusu upatikanaji wa mashamba ya kukodi mkoa wa pwani na kwingineko..mwenye taarifa au namba za simu naomba anijuze tafadhali...
Wakuu nategemea kuleta mzigo wa viatu vya kiume kutoka state, ni dressing shoes ( moka) kwa wanaume. Bei ni dollar $120 flat. Ukichukua pair 3 na kuendelea bei ni $110. All price are in USD.
Kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.