Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

Ni Scania 114 340 8×4 8 Gears Manual gear Imeshalipiwa ushuru lakini bado haijasiliwa. Asili yake ni body ya Tipa lakini ilitolewa huko huko nje. Tunaitoa kwa bei ya milioni 105 (Maongezi yapo)...
4 Reactions
28 Replies
6K Views
Kwa wapenzi wote magari mazuri kama unahitaji kumiliki gari aina yoyote ile, kila siku pitia uzi huu.. na kama sijalipost wewe nicheki kwa simu, nikupatie gari la ndoto zako. Magari ni used hapa...
1 Reactions
211 Replies
89K Views
Na KIMOMWE MOTORS (T) Ltd- Waagizaji Magari picha chini inaonesha jumla ya gharama kwa baadhi ya gari tulizoagiza kwa mwaka huu 2021. Hivyo ukihitaji kumiliki gari yako kutoka nje inaweza...
11 Reactions
44 Replies
8K Views
TRUCK INA SIFA ZIFUATAZO Mwaka wa kutengenezwa 2001 Aina ya Injini 4D33 Uwezo wa Injini 4,210cc Mileage 224,210 Km Uwezo wa gari Tani 2 Manual transmission Nyeupe Spring juu ACCESSORIES AC, Power...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Car in good condition Available all the time in Dar Price; 3.0 mil Call: 0683011003
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Corolla Manual ipo Ukonga mazizin full AC Gari imekaza Sana cc 1490 Bei poa sana Mil 2.8 fixed. pga Sim 0683011003 Njoo ukague gari na fundi wako hakuna picha zaidi ya hizi
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Hii hapa Run X nzuri tu Haina shida yoyote. Inapatikana Dar Tuwasiliane 0683011003 Imerudiwa rangi full kutokana na some scratches
4 Reactions
8 Replies
2K Views
Nauza gari yangu toyota Carina Ti, haina tatizo lolote, AC inafanyakazi fresh. Bei ni milioni nane ( 8ml) Kwa aliye serious njoo tufanye biashara. Madalali kaeni pembeni tafadhali Picha kwa...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Toyota RUNX CC 1490 Full ac BEI ML 6 0683011003 Location airpot, Dar es Salaam.
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Inauzwa Make: Toyota Model: ToyoAce Capacity: 1.25 Tons Type: Pick Up, Track Gear: Manual, 5 Gears Fuel: Diesel Mileage: 197,211Km Bei: Tshs 11,500,000 Mahali ilipo: Dar es Salaam, Mbezibeach...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
TOYOTA I.S.T INAUZWA BEI MIL 7.5 FULL AC MZIKI MNENE NEW TYRE&RIM SPORT CC 1290 ENGINE 2NZ MWAKA 2005 KM 105000 Mahali iliko: BANANA DAR ES SALAAM.. #CALL 0683011003
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nauza gari aina ya Honda Stream kwa milioni 9M haina mwezi tangu itoke bandarini Wasiliana nami kwa 0716727741
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Toyota CHASER BALLOON GX 90 Cc 1800 engine number 4s Full tinted Full documents Reamsports Safar popote mkoa wowote call 0683011003 Location Ukonga Bei million 2.5
2 Reactions
19 Replies
3K Views
PRICE UPDATED: 6,800,000 Model: Toyota HARRIER Lexus Registration Number: A.... Colour:Silver Engine: Petrol 2994cc VTI Year 1999 Seat Capacity 5 Music redio Full AC Full documents (File) Clean...
1 Reactions
24 Replies
5K Views
Engne 1g kavu Gari full Ac Njoo ukague gari Haina shida yoyote. Mahali iliko: kinondoni, Dar Call 0683011003
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Toyota Crown classic, T 823 DUV, Year 2004, Engine 4GR, CCC 2490, Full music system , Sport ligh with high detective colour, Full documents, In mint Condition, Price 14m negotiation, Location...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wakuu nauza gari yangu nina emergency haina tatizo lolote wala haijawahi kurudiwa rangi. Bei 10.3 maelewano yapo kidogo Mwaka 2004 Millage-99288 Cc 1790 Colour- black Inapatikana Dar es...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Make: Toyota Model: ToyoAce Capacity: 1.25 Tons Type: Pick Up Gear: Manual, 5 Gears Mileage: 197,211Km Bei: Tshs 11,500,000 Mahali ilipo: Dar es Salaam, Mbezibeach Vibali vyote vimelipiwa, gari...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wakuu Habari za jioni. Nauza gari ya kazi kwa bei ya nafuu kabisa. Make: Eicher Mode: truck Model number: MC2B6 Year of manufacture: 2017 Engine Capacity: 3298 Fuel used: Diesel Seating capacity...
2 Reactions
60 Replies
8K Views
Wale wazee wa kulenga njoo uchukue gari hii TOYOTA AXIO CC 1490 Namba BEE Haijawahi kupata ajari Haina shida yoyote ya kiufundi, mwenye mali ana shida kubwa na kimfaacho mtu chake BEI Milion 4.5...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom