Habari Wandugu,
1. Toyota Mark II, 2001, Automatic, 203,430km, sports rims, leather seats,in great condition price = 8,500,000/
2. Pajero Mini, 2000, 4 wheel drive, in great condition...
nauza simu aina ya samsung galaxy s2 mpya, bei 200k, ukitaka kujua specs zake angalia hapa Samsung I9100 Galaxy S II - Full phone specifications Kwa mawasiliano zaidi nicheki 0752490238
Habari zenu wadau?
Ninaomba kwa anayejua njia ipi ni gharama nafuu kusafirisha kifurushi kidogo chini ya kilo moja toka Hongkong mpaka Arusha Tanzania.
Manna rafiki yangu aliyopo huko amecheck...
Kipo Madale-Kisauke, aidha kipo barabarani na kinafaa kujengwa makazi kwani kimepimwa na pia miundo mbinu ya maji na umeme ipo. Kwa umeme haihitaji kununua nguzo pia kwa maji ni kuunganisha tu...
Bosi mwenye kumiliki hiace tuongee biashara ya daladala hesabu yake kwa siku shs 50,000/= hata kama haijasajiliwa mfano kule kule gongolamboto to chanika trips kama yupo serious anipigie 0714064767
Wakuu nahitaji smartphone yenye sifa zifuatazo- iwe ni Android,,Flash,Touch screen. Budget yangu ni 150000 Kama unayo ni pm tufanye biashara,Nipo Dsm...
Eneo lina ukubwa wa acre 1, lipo poa sana.. Lipo 3 km kutoka morogoro road, lipo karbu n huduma zote za kijamii kama shule, hospitali, maji na barabara pia.... Lipo pia katika location nzuri ya...
Sasa zimebakia chache New Sony Ericsson XPERIA arc S -1GB- Glossy black (Unlocked) Smartphone (LT18i) (BLACK ONLY LEFT IN STOCK) android 2.3 upgradable to 4.....
BEI YAKE NI 400,000tsh NAUZA KWA...
Wadau, natafuta mjasiriamali yeyote nimpe kazi ya kunisaidia kudesign business cards, invoice na headed paper ya kampuni yangu pia anifanyie printing ya vitu hivyo.,kama unaweza hiyo kazi niPM...
MAHALI:Salasala-kilimahewa(mt.500 toka mwisho wa lami)
UKUBWA:30*40 (hakijapimwa)
BEI :Tsh 28M(maelewano yapo)
Mwenye kuhitaji anaweza kuwasiliana na mm-0712 753 990 au unaweza kuni pm kwa maelezo...
Ipo dar kigamboni eneo la kibada mtaa wa kiembe poa,ni jirani na barabarani
Kuna mpaka maxmalipo na mashine ya tra .pembeni kuna kibanda cha tigo na mpesa nacho kinauzwa pamoja na line zake
kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.