Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
nahitaji kufungua biashara lakini mtaji nilionao ni laki nne tu sasa cjui nifungue biashara gani ndo itaaford mtaji nilionao wenye uzoefu anisaidie mawazo.
0 Reactions
1 Replies
833 Views
Plot at Prime area umeme hakuna haja ya nguzo,maji Dawasco ni kuunganisha tu. Eneo limepiwa na ramani ipo hati inatoka J3 ijayo. Eneo lipo Tegeta Kibaoni,Madale Kisauke. Call 0754 637357
0 Reactions
1 Replies
838 Views
Wapendwa natafuta kiwanja cha kununua mkoa wa Dar es salaam wilaya ya kinondoni bei isizidi milioni tatu
0 Reactions
6 Replies
3K Views
kwa mtu au taasisi yeyote inayohitaji kupata elimu elimu juu ya maswala ya Research methodology, Environmental Management, Natural Resources Management and Climate change Impact and livelihood...
0 Reactions
0 Replies
715 Views
Nauza galaxy s2 bei 280k. In a mint condition. Contacts. 0767879784 email;tumlack@gmail.com.
0 Reactions
2 Replies
895 Views
nina maharage ya uyole 96 (hybrid), ni yale maharage mekundu. pia tuna mahindi zaidi ya tani 5000. mwenyewe soko la haya mazao naomba anijuze. shukrani wakuu
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Inahitajika samsung S3 orginal bei maelewano mawasiliano 0655029095
0 Reactions
0 Replies
539 Views
Ninakodisha Noah na Verossa kwa maharusi,shughuri binafsi ,kiofisi na tour. Napatikana 0688 668 385/ 0764 590 690
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wakuu wapi naweza kupata adapter ya dell N series core i5 "65W AC adaptor" kwa sasa nipo Singida kazi zote zinakwama jamani.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wakuu.nauza unga wa sembe wa jumla kwa bei nzuri.ni super sembe.naleta popote ulipo.nauz kwa bei ya KILO 5 NAUZA 4000,KILO 10 NAUZA ELFU 8500.KILO 25 NAUZA 18000.NA KILO 50 NaUZA ELFU...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Hdd 160 Ram 1gb 32 OS Laki 3 na nusu Maelewano yapo 0714316116
0 Reactions
0 Replies
520 Views
Habazi zenu? Nauza tablet Inch 7 aina ya PIPO, zote ni mpya kabisa zipo kwenye box lake na ina vifaa vyote kama headphone,charger na USB cable.Unapata na leather case. Tablet zimeletwa toka USA...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nilikuwa nahitaji rates zako kwa ajili ya wanafunzi toka Mbagala huku mpaka Saadan national park. Ni wanafunzi sekondari wataonea kwenye Costa. Ni kwenda na kurudi bila kulala. We are budget...
0 Reactions
1 Replies
880 Views
Habari njema. Nauza ps2 zipo kwenye good condition pamoja na pad moja original bei 120,000 nauza kwa bei ya jumla zipo nyingi tu. Kwa mawasiliano zaidi 0716 163696
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nauza PS2 iko complete na waya zake Pamoja na Pad Moja, Bei ni 130,000....Bei aipungui wala aina Maongezi...
0 Reactions
1 Replies
752 Views
Specifications zake; Processor Intel Core i3 RAM 4GB Inbuilt HDD 500GB OS Window 8 550,000 kwa atakae ipenda. Contract me 0716 421233
0 Reactions
1 Replies
753 Views
Nauza kanga jike na dume jike anawatoto 16 wana umri wa week 2 na nusu nipo kibaha alie tayar ani pm bei sawa na bure.
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Nahitaji kwa ajiri ya biashara weka email nitakutafuta.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Imetumika kwa miezi mitatu mpaka sasa, haina tatizo lolote, 8GB Internal Storage+1GB RAM, Quad Core Application Processor, GSM 3G, HSDPA/HSUPA na features kibao za ukweli. bei ni Tsh. 350,000.
0 Reactions
1 Replies
982 Views
Samsung galaxy s2 used for 3months inauzwa. Bei sh300. If you want it. Contact 0688671212
0 Reactions
2 Replies
986 Views
Back
Top Bottom