Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Haya kuna nyumba inauzwa Inavyumba vitatu salun jiko umeme upo na maji pia Bei milion 55 Ipo Mbezi tangi bovu kichangani
0 Reactions
2 Replies
1K Views
hallow guys, hope you are doing gud. i need to advertise commercial announcement,which mass media might be the best to advertise and at least is cheap compared to others?
0 Reactions
0 Replies
716 Views
Kama inavyo sema tangazo iphone 4s 64gb ios 7.1.1 for sale 250000 tsh. bt network locked
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Nina Laki 2, Utaniuzia Simu Gani? Weka Na Specification Zake.
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Wakuu, tunatafuta nyumba ya kupanga kwa ajili ya ofisi. Iwe angalau na vyumba vinne na kuendelea, iwe pembezoni mwa barabara kuu au karibu na barabara kuu, iwe nzuri na iwe na Parking. Inaweza...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwa mwenye uhitaji na line za M-pesa zinapatikana kwa Tsh 150,000/= Nipo Mbeya!!
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Natafuta mtaalamu wa kusafisha roof tiles from Newzeland, mwenye contacts naomba msaada
0 Reactions
1 Replies
779 Views
Nahitaji Frem kwa ajili ya biashara hapa Dar es Salaam. Iwe kati ya maeneo ya Mbezi - Tangi Mbovu mpaka Africana. Mwenye nayo tafadhali afunguke tufanye biashara. Asante!
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau naomba msaada wenu.Nahitaji used Crankshaft ya Engine 5VZ. Nimezunguka sana bila mafanikio. Nitashukuru kwa ushauri wenu na msaada wenu utakaoniwezesha kuipata. Asanteni sana.
0 Reactions
0 Replies
697 Views
Habari wanajamvi nina ps 3 ina matatizo ya kuzimika kila baada ya dk 10-20 sometimes inafika mpk 30 kwa hiyo nauza kama scraper,vitu ambavyo mtu anaweza akafaidika navyo ni waya wa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ndugu wanabodi,kwa anayeweza kutafsiri kwa ufasaha kitabu kutoka kiingereza kwenda kiswahili ani pm ni kitabu kinachoelezea product za food supplement kina kurasa 40.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ninataka laptop kwa laki na nusu mwenye nayo ani pm haraka
0 Reactions
4 Replies
791 Views
JE WEWE NI MJASILIAMALI AU MFANYABIASHARA? Sasa unaweza kupata mikopo kwa riba nafuu kama una biashara iliyosajiliwa yenye Leseni na TIN number. Mikopo inatolewa Kuanzia 1,500,000 mpaka milion...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Chrysler SRT 8 Odometer reads 30,000+ Price $53,000 More info pm me Asap
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Ukitazama biashara nyingi za kati au ndogo zina kitu kimoja zinafanana, nyingi hazina tovuti au website zinazotoa maelezo ya kutosha juu ya huduma, bidhaa au eneo zinakofanya kazi. Iwe ni hapa...
3 Reactions
20 Replies
6K Views
Sim tajwa hapo juu inauzwa inafanya kazi vizuri ila camera ime corrupt Ni touch na buttons na zote zinafanya kazi. Ina support whatsapp,viber,skype,instagram etc Price 90.000/= Contact 0713488387...
0 Reactions
2 Replies
955 Views
Habari za mida hii wana jamvi, Natafuta kuku 1. Chotara 2. Kienyeji (kuchi) Kama unafuga au unajua sehemu wanapatikana kwa hapa DSM plz nijulishe, nawahitaji sana
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Natafuta fremu mbili tofauti, moja yenye ukubwa wa kawaida iwe kinondoni au mwananyamala kodi isizidi elfu 80 kwa mwezi, na ya pili iwe kubwa sana ya kuweza kuweka mini supermarket maeneo ya gongo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Salaam wanajamvi, naomba ushauri wenu wa kitaalam katika hili suala, niko kwenye mchakato wa kuanzisha Magazine (ya mambo ya afya), nimeandaa mada tofauti tofauti tayari, sasa way forward ili...
0 Reactions
0 Replies
989 Views
Hi I would like to open my offer for charity organisations only,I have set a maximum number to help that I will keep to myself. If that number of organisations is reached I will not help any more...
0 Reactions
1 Replies
855 Views
Back
Top Bottom