Habari Wakuu!
Hope nimefanikiwa kuapload picha za hiyo truck ambayo iko sokoni Ina hali nzuri na odometer kama inavyoonesha ni chini ya 400,000 mileage kitu ambacho ni nadra kwa trucks. Mbali ya...
Wakuu, natafuta nyumba ya kupanga kuanzia mwezi wa 7. Maeneo ya Kunduchi, Salasala, Mbezi beach na sehemu jirani na hapo. Vyumba vitatu, packing na fence. Budget yangu ni sh 450,000 - sh 500,000...
Natumai humu ndani nyote hamjambo. Poleni na majukumu.
Nahitaji kujua gharama za powertiller aina ya kubota naweza pata wapi hapa Dar na price zikoje.
Yeyote mwenye kujua tafadhari naomba unijuze...
Wana Jamii TVS KING (T BTL) inahitaji mteja iko bajaji iko quality ,anauza coz anahitaji hela za fasta 2.5M cash ,simu 0766315158 kwa maelewano ,piga kama mnunuzi tu picha hizo chini,asanteeni
Mimi ni fundi simu natafuta sehemu ya kufanyia kazi zangu yenye mzunguko wa watu wengi, kiwe kibanda au nafasi hata ndogo ya kufanyia hiyo kazi, namba yangu
boxer cc150 inauzwa kwa bei ya millioni 1 na laki 6 imetumika kwa muda wa mwezi 1 kwa safari ya kuelekea ofisini na kurudi basi. kwa atakehitaji anicheki kwa 0717 022737 ina namba ya c.. niko dar...
Viwanja hivi vyote viko Amani Gomvu kwenye kona ya kwenda Amani Beach Kigamboni Kilomita 26 kutoka Kivukoni/Feri. Kila Plot ni Square mita 1100 na kila Square mita 1 ni Tsh 8000/=. Gharama hiyo...
Habar zenu wanajf, Mimi ni fundi cm' mi nahitaji sehemu ya kufanyia kazi yangu,sehemu yenye mzunguko wa watu wengi, kiwe kibanda au kinafasi kidogo tu, maana kama unavyojua sehem,kama hizo fremu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.