Guys natoa huduma ya kutengeneza logo au nembo kwa ajili ya biashara fulani,kampuni,website,event na kadhalika kwa bei nafuu kabisa tsh.30,000/= tu kwa anayehitaji logo awasiliane nami kupitia...
Hallow wana Jf!
Leo nina Dell Inspiron 1545 Model PP41L
Intel Core 2 Duo 2.1ghz
320gb hdd
2gb ram
DvD rw
wifi
Bluetooth
windows 8 pro
15'6 screen
Black cover
3hrs batteries
imetumika 6month
Haina...
Wadau nauza kwale kila mmoja sh 15000 na mayai yapo trei 25000 . Tafadhari tuwasiliane kwa wanaotaka kufuga au kutotolesha au lishe au dawa. 0712878737
Nyumba ya vyumba3 chumba1 ni self contained,sebule,dinning,choo na jiko. Parking kubwa, nyumba ipo mita5 kutoka bagamoyo road. Bei laki4/mwezi Call 0752953860
habari zenu wana jamii, baada ya
kupata usafiri mpya nimeamua kuuza
pikipiki yangu aina ya honda cc90
nyekundu imetumika kiasi. Iko dar es
salaam na bei yake ni laki 575,000. Kwa anayetaka...
Habari wadau
Ninatoa huduma za UCHAPISHAJI (PRINTING) wa documents mbalimbali kama vile:-
INVOICE BOOK, PROFORMA BOOK, RECEIPT, CASH SALE BOOKS, ANNUAL REPORT,
MAGAZINES, BANNERS, STICKERS...
Za asubuhi!
Nahitaji kiwanja kwa ajili ya ujenzi wa nyumba, kiwe jirani na ufukwe, eneo tarajiwa ni popote kigamboni! Taja bei yako na nipe na contacts zako fasta!
Gari aina ya nissan patrol diesel engine inauzwa. Ina engine cc 4139.Gari iko bomba na iko barabarani. Bei ni milioni 19 maelewano yapo. Kwa mawasiliano piga 0763969066
Mzigo wenu mwingine uliokuwa unasubiliwa unaingia jumatano tarehe saba,fika ofisi kwetu magomeni lango la jiji,samsung galaxy s4 nyeupe na nyeusi (with high resolution),4.2 jelly bean,16gb mpya...
Tablet aina ya swag large size 102 inauzwa kwa bei poa kabisa Tshs 450000
Haina tatizo lolote hadi screen protective cover yake ipo, that's why imebakiwa nayo Guarantee yake,kwa mwenye nia naomba...
mahitaji ya kupanga nyumba ina vyumba vitatu , jiko, choo 2, store bei tshs: 100,000/= kwa mwezi. Kulipa ni mwaka1 au miezi sita. Nyumba ipo barabara kuu iendayo kigamboni kutokea kongowe.
Kwa...
Viko amani gomvu...karibu na changani beach.viko upande wa bahari...bahari unaiona ., sea breeze unaipata sawa sawa...kutoka kigamboni mpaka hapo kwa gari ni dakika 25....sqmt 1 ni sh 15000 cash...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.