Wadau natafuta chumba cha kupanga maeneo ya Msasani au Mikocheni, kiwe na sifa zifuatazo;
-Kikubwa...
-Self contained(jiko, choo na bafu ndani).
-Kiwe na umeme, na maji yawe yameunganishwa ndani...
TUNAZO LAPTOP ZA HP NA DELL TAFADHALI FUATA LINK HII BUSINESS LAPTOPS CENTRE
TUNAPATIKANA DAR ES SALAAM NA ZANZIBAR NAMBA ZA SIMU ZIPO KWENYE WEBSITE HIO HAPO JUU
ASANTENI
BEI NA NAMBA ZA SIMU...
Sifa: shule diploma ya fani yoyote, kazi customer care dukani, awe mtulivu, mwenye kujipenda na heshima, mwaminifu, Kama Huna diploma basi sifa hizo hapo na mwenye uelewa wa Hali ya juu utafikiliwa.
Habarini za Asubuhi wana JF.Samahani kama nitakua nimekosea.Ninaomba kama kuna mwenye mawasiliano na Mkuu wa Chuo cha Madaktari/Manesi Cha DCT MVUMI DODOMA Anisaidie.Jina lake la utani ni JB ila...
Natafuta business partner wa kufanya nae biashara ya mtandao. Hii ni biashara inayokuwa kwa haraka na kuwatoa watu wanaoifanya kwa umakini na wenye malengo ya kuondokana na umaskini wa kipato...
Wadau haya magari yanauzwa yote, kihalali kabisa na kwa bei nzuri. Hata VX zipo, yote yapo katika hali nzuri tu na haya ni machache miongoni mwa mengi yaliyopo. Kwa mawasiliano zaidi 0713460709...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.