wakuu poleni na pilika pilika za za hapa na pale!!
Wakuu naomba msaada ufuatao kutoka kwenu!!
1. Nahitaji kujua chuo mahiri kinachotoa mafunzo ya udereva kwa dar es salaam!!
2. Gharama ya...
Nyumba inapangishwa ipo Tabata segerea
-Nyumba ina uzio na geti
-ina kisima cha maji na tank la kuhifadhia maji
-ina vyumba vitatu(master moja),sebure,dining,parking mbili,jiko,stoo,public...
Nakaribisha wadau natafuta redio aina ya SONY DJ MIX 240W, iwe full function (remote control) isiyo na tatizo kama unayo waweza kuwasiliana na mimi KUPITIA PM au kunichek kupitia 0717693927 ni kwa...
Toyota Nadia iko sokoni,.
ni ya mwaka 2000, na imeingia nchini 2010.
imetembea km 143000 ambazo kati ya izo km 43000 ndo imetembea hapa nchini.
rangi ya silver, 2000cc petrol high tec- D4...
Wadau nauza kuku wa mayai(layers) wapo 850..wanataga sasa mwezi wa 4.Nauza elf 8500 kwa kila mmoja.Hawana tatizo na unaweza kuja na wataalam kuwahakiki.Niko Morogoro.Karibuni sana na kwa...
Habari wadau wa jf kunakiwanja kinauzwa mbezi beach upande wa samaki kwa juu kidogo 35×25 kwa iliye serious 0714787795 pia pm namba yako kama utahitaji picha umeme na maji mpaka mlangoni mwenye...
Ofa ofa ofa kuna Iphone 4s inauzwa sh400000 sipunguzi hata mia labda kama una nokia E6 tutaongea.ina hali nzuri kabisa na kila ki2 chake kipo mie niko mwanza mjini na kwa mawasiliano zaidi nicheki...
Habari ndugu zangu wa Jf viwanja bado ninavyo mbezi luis morogoro rd vipo vya mita 500 toka lami ukubwa 20/30 kuanzia sh. ml.10' 15 na kuendeale kulingana na mahitaji yako. Vingine ni km 2'4...
wadau km kuna dalali yyte anitaftie chumba yan bajet yangu elf 30 kiwe na umeme silngboad sio ishu sana ila bat lisiwe limetoboka maeneo ya kinondoni,mikocheni,hata kwa mtogole sio mbaya...tafadhali
Habari, mie ni mfanyakazi wa private company, nataka kufungua akaunti ya dola CRDB. Naweza kujua ni masharti gani na viambatanisho vipi niwe navyo niweze kufungua akaunti hiyo bila zengwe.
Kwa...
Salaam,
Nina lori (semi-trailer) flatbed linaloweza kubeba mpaka tani 30-31, natafuta mtu/kampuni yeyote iliyotayari kushirikiana katika kusafirisha mizigo/containers kwenda sehemu mbalimbali...
Just a Quick Update,
Msikose kuangalia TBC1 Leo (27/04/2014) Saa Tatu Kamili Usiku Ntakuwa naongea na Msimbe wa Amka Tubadilike Kuhusu Kilimo cha Greenhouse na Jinsi gani naweza kuwasaidia...
HoneyWay International ni kampuni inayojihusisha na biashara ya kuagiza magari toka Japan na kuyauza kwa bei nafuu.
Pia HoneyWay International ambayo inamilikiwa kwa asilimia 100 na Raia wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.