Viwanja vilivyopimwa vinauzwa Chalinze mjini tsh 4000sqm. Vipo karibu na huduma ya maji na umeme ukubwa ni sqm 400 hadi 1000: vipo vichache changamkia piga kwa maelekezo zaidi no. 0754395141...
wadau wenye subaru jijini Dar es salaam na kwingineko,nimefungua duka la spare za subaru.
Napatikana kariakoo mtaa wa swahili\rufiji opp Dallas hotel(zamani AM hotel)
wote mnakaribishwa
ONLY FOR SERIOUS BUYERS: Nauza simu SAMSUNG GALAXY NOTE 3 (Device Model SM-N9005) ni MPYA Na haina tatizo lolote na haijawahi kuwa na tatizo. Ni ORIGINAL PHONE na ina Documents zake zote na...
We're IT service providers committed to helping businesses maximize their uptime while reducing IT costs, so they can focus on their day to day business.
0789776668
IT Service Provider
Our IT...
ni simu aina ya HUAWEI ASCEND Y300, Bei TSH. 155,000 tu, Simu iko poa kabisa, inatumia lain ya tigo pekee ukinunua itabidi u unlock na jamaa wanatoa huduma ya ku unlock kwa sh 5000 tu. call...
Gari hii iko Dar na iko ktk hali nzuri sana.Gari ni ya mwaka 2000 na matumizi yake yamekuwa ya hapa mjini tu. Imetembea km 106,800 na ina vibali vyote. Bei yake ni 6.8, Angalia picha zake na kama...
Guyz natoa huduma ya kutengeneza logo kwa ajili ya biashara mbalimbali za wajasiriamali kwa bei nzuri kabisa ya kijasiriamali kwa anayehitaji logo/nembo awasiliame nami kupitia 0689341445
Wanachama na uongozi wa kituo cha ujasiriamali na mafunzo KEWOVAC wanawakaribisha watanzania wote wapendao ujasiriamali, biashara na maendeleo kwa ujumla kuhudhuria uzinduzi rasmi wa kituo siku ya...
Wadau nauza layers wangu wanataga kwa miezi 4 sasa..wapo 850 nauza 8000 kwa kila 1...niko morogoro lakini naweza kuwaleta popote.Nabadili biashara kwa kufuga zaidi machotara kwa ajili ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.