Wadau nauza layers wangu wanaotaga sasa kwa miezi 4..wapo 850 na nauza kwa 8000 kwa kila 1..Nabadili ufugaji kwende kwenye chotara na samaki.No yangu ni 0659300000 au ni PM kwa lolote.Thanks
Nina mpango wa kufungua mahali pa kuuzia mafuta ya Taa hapa Kijijini kwetu, naombeni msaada wenu ni wapi naweza kupata mashine (pump) maana tank nimeshalipata. Mwenye mawazo jinsi ya kupata hizi...
Wakuu,
Kwa aliye na taarifa anisaidie natafuta nyumba ya kununua, iwe na hati, uwanja mpana at least square metre 1500. Tafadhali iwe mkoa wa DSM.
Mwenye kufahamu ani-pm akiambatanisha bei na...
Wanafunzi na walimu wa GEOGRAPHY (A & O level) Jiwezeshe katika somo kwa kitabu kipya cha Practical Geography kilichosheheni topics zote za Practical Geography: Statistics, Research, Chain...
Register your Domain for free!
- offer under a limited time.
- covers only first year, TLD under 45,000 Tsh / 30 $ @ Year TLDs check them here.
- domain must...
Buy New and Used Cars in Kenya | Cars For Sale | Sell a Car for Free
Angalia hii tovuti kama watafuta magari mapya ama yaliyotumika... Tunaeka magari kila siku na pia unaeza uza gari lako hapa...
Kwa wale watumiaji wa smartphone, ili kuepuka usumbufu wa kuishiwa na charge mara kwa mara power bank ndo mkombozi, ni kifaa kidogo unachoweza kutembea nacho huku kikichaji simu yako popote pale...
Viwanja vilivyopimwa vinauzwa Chalinze mjini tsh 4000sqm. Vipo karibu na huduma ya maji na umeme ukubwa ni sqm 400 hadi 1000: vipo vichache changamkia piga kwa maelekezo zaidi no. 0754395141...
Wakuu, nahitaji loan ya mill 1 Tshs nimepungukiwa katika kuanzisha biashara yangu.Niko Dar.Dhamana nilizonazo ni vitu kama friji, sofa etc. Uwezo wangu ni kurejesha kwa miezi 2 au 3 kwa riba...
simu iwe smartphone za bei ya chini kama huawei, techno p5, htc n.k, iwe kwenye hali nzuri bei inaweza fika laki kulingana na ubora..mawasiliano 0754833473 TUMA SMS
Habari.
Hii simu ninayoitumia ni NOKIA E72. Naiuza kwa shilingi 50,000.
Ni housing tu tu ndo imechoka tena siyo sana. Kuchaji nachajiaga kwenye sehemu ya USB maana kwenye sehemu yake ya...
Nauza ofisi ambayo ni sehemu ya fundi cm ipo maeneo mazuri kwa biashara nimeshindwa kutokana na kukosa fund cm mzuri na mwaminofu,call me0652740304 pia kuna cm kama htc8s,huwawei na sumsung glx s2
Wadau nauza kuku wa mayai(layers) wanaotaga kwa mwezi wa 4 sasa.
Ninao 850 na nauza kwa elf 8000 kila mmoja.Nauza kwasababu nabadili ufugaji kwenda kwenye chotara kwaajili ya kuuza vifaranga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.