Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Nawasalim, Nahitaji block ya engine ya Isuzu 4HG1. Kwa mafundi magari, au yeyote mwenye nayo au ambaye anaweza kunisaidia kuipata tafadhari msaada. Iwe nzuri ambayo haijawahi kuchongwa.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Sim zna wiki toka shop, zinafungua appz zooote.. Bei maelewano wakuu
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari wakuu kama kichwa kinavojieleza nauza kichwa cha redio aina ya aiwa na subwoofer aina ya sea-piano Sub-woofer haina redio ni speaker tu na naiuza tshs.50,000/=, aiwa naiuza kwa...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Samsung Galaxt S inauzwa mpya bei yake laki mbili but kwa maelewano zaidi piga namba 0653638824 au 0656852477. GENERAL 2G Network GSM 850 / 900 / 1800 / 1900 3G Network HSDPA 900 / 1900 / 2100...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
0767510151 dar! Sinza
0 Reactions
0 Replies
923 Views
Nyumba ipo mbez makondeko, ina mazingira mazur ila finishng haijafanyiwa, kuna uwanja hapo hapo wa 30*18m. Kwa mawasiliano 0714400726
0 Reactions
3 Replies
2K Views
habari wakuu.. nauza simu ziko mbili 1) samsung galaxy ace s.5830 (white in color+ free back civer) imetumika miezi miwili tu so ni almost new bei ni 170,000/ 2) blacberry bold 9700 nyeupe...
0 Reactions
0 Replies
664 Views
za siku wanajf mimi natafuta line ya tigo pesa au m-pesa nitashukuru kama kutakua na mtu anauza anipm kuongea zaidi.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jf hi, natafuta mtaalam wa kuweka screen ukutani room kwangu. Nitagharamia vifaa na nauli kuja site. Site ni Ubungo Msewe.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa design za nyumba hizi hapa, vyumba vitatu na kuendelea. Ipo michoro mingi, njoo uchague design uipendayo,
0 Reactions
0 Replies
1K Views
habari wakuu. naomba msahada wa jinsi ya kuipata hii printer kwa jili ya id card za pvs [plastic] kwa mawasiliano 0757157725 ahsanteni
0 Reactions
0 Replies
970 Views
Grab this Template for only 89,900/= including designing fee + first year domain registration (Any TLD) + first month hosting (Anypackage). Template 17. Stand alone cool template special for...
0 Reactions
0 Replies
795 Views
nahitaji cmu fasta 3g naa double camera ntaweza kutumia skype n charge yake oky
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Achana na TV stands feki za Kichina zisizo na mvuto, kwa bei poa pata original TV stand yenye upekee kabisa; -Very unique design by Elecom Co. in Japan -Ideal for small sitting rooms and by the...
0 Reactions
18 Replies
5K Views
ni used lakini ipo katika hali nzuri bei Tsh 160,000=
0 Reactions
0 Replies
632 Views
Microwave ya samsung imetumika kwa miezi mitatu tu, inafanya kazi vizuri sana. mhusika ana dharura, na aniuza kwa sh 105,000/= yupo dar-es-salaam Anayeihitahi anaweza wasiliana nae kwa 0654741801
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Samsung galaxy s3 min inauzwa imetumika kwa mwezi nicheki kwa 0717022737 inatumia line2 ni original. Ina internal memory ya 8gb
0 Reactions
19 Replies
1K Views
habari wakuu! Refer above heading please! Cpu xcess tower processor 1.0ghz, 40gb of hdd...
0 Reactions
0 Replies
716 Views
Ndugu wanajamvi ninauza crate za bia 48 na chupa zake tupu kwa shs 10,000 kila moja. wasiliana nami kupitia 0717489246. nipo dsm
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Habari za muda huu wakuu Husika na kichwa cha habari hapo juu, Nahitaji Huawei y300 yenye hali nzuri Nipo Dar NINA 130,000 Ni_pm kwa mawasiliano zaidi
0 Reactions
4 Replies
964 Views
Back
Top Bottom