Nahitaji laptop kwa bei ya 650,000/=
Iwe HP ama Dell e series.
Processor kuanzia 2.4 GHz.
Core i3.
System type iwe ni 64-bit OS.
HDD ianzie 500GB.
RAM ianzie 4GB.
Iwe na uwezo wa kukaa na charge...
1998
119700km
600Cc
Gari iko katika hali nzuri
Matairi mapya
Insuarance n road licence paid
Inatembea bila matatizo yoyote.
Bei 6.5mil
Serious buyers only
Habari zenu wana JF.
mimi ni estate agents (dalali) kwa yeyote yule anayehitaji
1. viwanja au mashamba ya kununa
2. nyumba/ apartment za kupangishwa na kununua
tafadhali awasiliane na mimi...
Iwe katika hali nzuri pamoja na hard disc angalau GB 160, RAM GB 2 na iweze kukaa na charge takriban masaa matatu.
Ofa iliyopo ni 300,000/=; wasiliana na muhitaji 0659528724, 0768932789.
Natanguliza Heshima kwenu wakuu!! Nina kajisehemu kangu ka ukubwa wa eka mbili kuna vishughuli vidogo vidogo vinaendelea humo na naona sasa muhimu kuweka fence kwa sababu zote!!! Naomba ushauri...
Kuna sehemu yakuuzia chakula na kutengeneza zile chips kama za Kinondoni inapangishwa. Eneo liko Sinza Mori karibu na Big Bon. Kuna fremu kubwa yakutosha, uwanja wakutosha na maji ya bomba yako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.