Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
natafuta huawei y300 isiwe ya tigo lakin....
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Bei yake niLaki 6 ... Mpya kabisa ina warranty ya 6month. Kwamhitaji mawasiliano ni 0766607949..
0 Reactions
2 Replies
906 Views
Habari wakubwa, naomba msaada wa kupata mashine ya photocopy aina ya canon iR 1600 yenye sifa zifuatazo; black&white Device print at 16 pagee per minute A3 max paper size Network Ready...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nauza salio la ZANTEL kwa matumizi ya Modem au Simu yako kwa bei nzuri. Napatikana DAR, karibuni sana. Salio lipo la kutosha sana!
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wadau, naomba mwenye kujua ni wapi naweza kupata mkopo wa haraka wa 2,500,000 Tshs kwa dhamana ya gari yangu halali (Demio Mazda) ambayo iko katika hali nzuri. Narudisha tarehe 31 May, 2014...
0 Reactions
22 Replies
5K Views
Habari! Natengeneza website kwa 50,000 pia natengeneza blog, logo. NB: Bei hiyo ni kutengeneza tu, gharama ya domain name na ku host ni juu yako. Kwa mawasiliano 0757660245
1 Reactions
0 Replies
948 Views
Wadau nanunua simu tajwa hapo juu, iwe kwenye hali nzuri, no scratches,iwe na accessories Zorro, rangi yoyote na betri isiwe kimeo , bei ni 200000 Tshs. Mwenye nayo tufanye biashara
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Hii hapa kwenye picha speed yake ya download ni mpaka 21Mbps Au mwenye nayo tubadilishane na Huawei E3131 OG Ina speed ya 21Mbps Kama unayo 0657209956
0 Reactions
1 Replies
880 Views
Kwa mahitaji ya viwanja ktk kata ya moshono visivyo na mgogoro,maeneo yanayopitika,wasiliana nami. 0764271322 Maeneo yaliyopo miongoni mwa yanayouzwa ni miguu 25 kwa 14 kwa mil 15,miguu 28...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nahitaji psp bei yangu nina 100,000 naomba mnisaidie nahitaji haraka kwani nina safari ijumaa kama unayo niandikie namba za simu nikucheki hewani mimi nipo dar
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Nauza simu galaxy s4 nyeusi gb 32 kwa bei yaa 550k nicheck kwa 0713239001 nipo dar
0 Reactions
0 Replies
574 Views
Habari zenu wadau. Naomba msaada wenu kuwa kama kuna mtu anauza mbwa au unamfahamu pls niambe. Ninashida hao walinzi. Ahsante sana
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Yapo Tanga; Bei la gunia lenye 100kgs ni TSH. 45,000/= ONLY! First come first saved. 0754 754 593 (Serious buyers Only)
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Ni kwa bei ya promotion, shilingi laki nne na nusu tu, niko Dar es salaam. 0715 265 008
0 Reactions
2 Replies
863 Views
Heshima kwenu wote Najitaji kununua Bb z10 used offer budget Yangu ni laki 4 tu... kama kuna mtu anauza tuwasiliane
0 Reactions
10 Replies
1K Views
zinauzwa sofa nzuri
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Natafuta kiwanja maeoneo ya temeke , budget 4-6M
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Nauza gari Rav4 Ina hali nzuri,tairi mpya.Bei milioni 8 na nusu.Mawasiliano 0787 500 547
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari zenu wadau?Ninaomba kufahamu mambo ya msingi ya kuwanayo na ya kufanya unapotaka kufanya hii biashara ya Mpesa au Tgo pesa.Na mtaji wa kawaida wa kuanzia ni kama bei gani?Pia unaweza...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
DELL INSPIRON N5050 FOR SALE HARD DISK 500GB RAM 2GB Intel® Pentium® processor,2.38ghz webcam,bluetooth BATTERY 2.30 Hours Price 450000 contact:0752385949
0 Reactions
0 Replies
827 Views
Back
Top Bottom