Tunatoa huduma za kuunganisha umeme wa mionzi ya jua/solar majumbani, maofisini, shule, msikiti, kanisa, mahotel, gest, hospitali, camp sight nk. Umeme una warant ya miaka 2, kwa upande wa nje ya...
Simu kali sana kwa matumizi ya kawaida.
1 ghz duo core processor
512 mb RAM
8GB INTERNAL MEMORY
5MP CAMERA..
inaenda kwa 200000. Napatikana dar..0718355635
Baada ya kufunga mradi wangu wa airtel money ninaitaji mtu wa kumuzia laine ikiwa na logbook yake mpya kwa elfu 85 (negotiable) niko Dodoma. Anayeitaji ani PM nimpe namba za simu tuwasiliane.
Get -
.com
.net
.info
.biz
.co.in
.org.in
.eu
.ws
.co.uk
.ru
.nl
For only 20,000Tsh - Valid until April 4, 14.
Simply email your concern to info@aldegtechnologies.com and our technical personnel...
Natafuta shamba kwa ajili ya makazi, kilimo na ufugaji njia ya kuelekea Lindi toka Mbagala, shamba liwe Pwani na bei nafuu na kufifika isiwe muda mrefu sana toka Mbagala
Hello wadau..nauza kiwanja Morogoro mjini..kipo mita 200 kutoka stendi kuu ya hiace kwenye barabara ya kwenda boma road...kina ukubwa wa sq 400 na kina ukuta na kina pakana na barabara ya lami.Bei...
Kiwanja kinauzwa chamazi, kipo kwenye mtaa uliojipanga vyema, kila kiwanja au nyumba inatizama barabara, umeme na maji vipo, kutoka barabara kuu mpaka ukifikie ni dk 5 tu. Ukubwa ni ft 50 kwa 50...
Habari zenu wana JF, samahani naombeni msaada ni wapi naweza pata gas ya BP kwa hapa dar es salaam?
mimi naishi tegeta, kwa anayejua tafadhali anisaidie.
bless you
Kipo Suye Pentagaon Pembezoni mwa mlima kijenga,kuna upepo mwanana,umeme na maji.
Kimezungukwa na uzio wa majirani pande zote.
BEI INAANZIA 33M.
HAMNA DALALI.
NIPIGIE
O764291222
Za leo bandugu,
Jamani nina tafuta nyumba.
- iwe na security ya kutosha
- maeneo yoyote Dar ila karibu na mjini. Mfano mwenge, kijitonyama, sinza, kinondoni, ubungo etc.
- Ndani kuna fully...
Habari zenu wapendwa,
Mimi nilikuwa nafanya biashara ya Grocery hapa Dar es Salaam maeneo ya Kinondoni ila kwa sasa nahamia mkoa mkoa, nauza vifaa vyangu vyote kama vilivyo kwa ujumla ikiwemo...
Nyumba 2 ziko kwenye compound moja.
YA KWANZA ina master 1 na chumba cha kawaida kimoja pamoja na jiko, baraza ya nyuma kwa ajili ya jiko, dinnning & sitting room (bei 350,000/-)
YAPILI ina...
Habari za kwenu.?
Naomba kujua ni wapi naweza kuprint business cards kwa bei nafuu hapa Arusha mjini,nataka kuprint 200 Pcs.Ntaka kujua gharama za printing tu,tayari nina art work.
Asante sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.