Karika kuhangaika huku na huku nimekutana na hili wazo la kuwa Agent Bank ya Equity moja ya faida waluniambia ni kuwa nawza kufungua ac za wateja, kutoa na kuweka fedha na commision yao ni 40% na...
Naomba msaada kuhusu tofauti kati ya Final withholding tax and Non final withholding tax, Na jinsi ya kuzitumia katika kucompute Tax payable by installment katika form tajwa hapo juu. Thank you in...
KWA ANAYETAFUTA KITABU CHA UONGOZI WETU NA HATIMA YA TANZANIA KILICHOANDIKWA NA BABA WA TAIFA JULIUS KAMBARAGE NYERERE TUWASILIANE KUPITIA NAMBA HIZI:- 0684 012 919, MIMI NIPO DAR ES SALAAM...
Heshima mbele wakuu. Yanahitajika mafuta ya nazi kwa wingi sana.
SIFA ZA MAFUTA YANAYO HITAJIKA :
1. Yawe fresh palm oil.
2. Yanayo tumika kwa chakula . (...
Nauza samsung s3 ni original, ipo.kwenye hali nzuri, na haina tatizo.lolote.!! Nipo dar..
Bei ..:: 420,000
kama utakuwa seriouz na biashara ni.pm, text, call and whatsapp me 0785673240
ndugu zangu wanaJF salamu, JAMANI MIMI NA WENZANGU WATATU TUNA ENEO LETU AMBAPO KUNA MWAMBA AMBAO UNATOA DHAHABU KATIKA KIWANGO KIZURI LAKINI KUTOKANA NA KUKOSA VITENDEA KAZI VYA KISASA...
waungwana kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu' nauza iphone 4 yangu,
simu ipo kwenye hali nzuri
simu ipo updated kwenye Ios 7.1 latest'
simu ina chaja, screenguard, na cover lake pia...
Nauza samsung s iii.
Ipo kwenye hali nzuri.. Haina michubuko wala tatizo lolote.!!!
Bei .:: 420,000
punguzo tunaongeaaa..
Nipo dar..
Text, call, whatsapp.. 0785673240
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.