Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
memory card with card reader: 32GB for only 30,000Tsh. 64GB for only 35,000. call 0656 277 200 NO
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nimeamua kuishi Kilombero. Mwenye nyumba nzima ya vyumba vyo vyote sehemu za Ruaha na vitongoji vyake hapa Kilombero tuwasiliane haraka ntachukua yote kwa familia yangu.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari zenu, Kuna rafiki yang anauza Samsung Galaxy Note II imekua upgraded kutoka 4.1.2 kwenda 4.3 version! Na uwezo wake n 32gb ndani! Black in colour! Na ana makava ya kutosha ya gold na...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
weka bei ila isiwe bei yakukomoana nipo dar 0755984282
0 Reactions
0 Replies
600 Views
Ninatafuta mbegu za maharage ya Muccuna na Sunnhemp,kwa yeyote anayefahamu mahali wanapouza au kulima kwa kiasi kikubwa naomba anijuze...humuhumu....nitamwelekeza namna ya kuwasiliana nami,ili...
0 Reactions
1 Replies
948 Views
Habari zenu wakuu… Tunatoa bando la gb 5 hadi unlimited la vodacom…pia tunauza modem za vodacom kwa tsh 30,000 tu na universal modem kwa tsh 35 000 tsh… Tunatoa huduma ya ku-unlock wireless...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Nina mbuzi toka igunga, nawauza kwa 80000/- kila mbuzi nakama utanunua mbuzi zaidi ya 20 kila week utaletewa mzigo mpaka hapo ulipo, Ila within Dar es salaam. Kama unahitaji mbuzi naomba uni PM...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Tunatengeneza computer za aina zote desktop,laptop na kuludisha data ktk computer yako kama zilifutika au computer kuwa formated ukapoteza data zako tunaziludisha pia,na tunatengeneza...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nauza New Sony Xperia E , 4GB, from UK bei 360,000 please call 0713674687
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Modem inatumia mitao yote (nimeichakachua) nauza bei maelewano.Ni PM au 0752953860 nipo dar es salaam
0 Reactions
0 Replies
965 Views
Wadau naomba mnisaidie kama naweza kupata kioo cha mbele(wind screen) cha Jeep Cherokee ya mwaks 87/89 pamoja na taa(parking lights na indicator zake za mbele). Tuwasiliane tafadhali. Nimejaribu...
0 Reactions
1 Replies
951 Views
Nauza nokia lumia 800 from UK in new condition , bei 390000 mwenye kuhitaji please call 0714 674687 niko dar
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nauza pikipiki aina ya fekon ziko ktk hali nzuri na ziko Dar Kimara. Atakaekua anahitaji anitumie PM kwa mawasiliano zaidi!
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Matofali mazuri 800 ya ukubwa wa 5" yanauzwa kwa Tzs 950 kwa kila tofali, yapo Mbagala along kilwa road, atakayenunua yote kwa mkupuo mmoja bei 720,000, usafiri ni juu ya mnunuaji pia gari kubwa...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Toyota carina (2010) iko sokoni Tsh.Ml.10 insurance imekatiwa ushuru kila kitu safi kwa matumizi Pm kwa aliyeko tayari.
0 Reactions
32 Replies
4K Views
tunatengeneza car ports kukinga dhidi ya jua na mvua kwa bei nafuu kabisa.bei ni kuanzia milioni 2.3 kwa size ya magari mawili na bei inapungua kiasi kadri namba ya ports inavyoongezeka.kwa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari,naomba msaada kwa yeyote anayefahamu bei za scania 124 l naomba anisaidie.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
kampuni imesajiliwa brella,tra na crb. Kampuni ina leseni za building material supply&hardware, building construction, pamoja na timber supplies. Kampuni ina website pamoja na simu ya mezani...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Ninauza bata mzinga katika viwango vifuatavyo. Dume Mkubwa ni Sh.150,000; Jike Mkubwa anayetaga Sh. 100,000 na Wadogo wa umri kati ya miezi 4-5 Sh.50,000. Kwa atakayehitaji anitafute kwa namba...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wanaJF, natafuta mfanyakazi wa Ng'ombe, mshahara ni shilingi elfu arobaini (40000). Kula na kulala hapa hapa kwangu. Mawasiliano
0 Reactions
0 Replies
982 Views
Back
Top Bottom