Habari za asubuhi wakuu..
Nilikuwa nahitaji Samsung s2
Mm nitakupa tecno phantom A plus (A+)
#imetumika for only 2 month..still in gud condition.
Nakupa na all tx accessories.
##PM me...
Sumu mwilini husababishwa na:-
Je wajua soda tunazokunywa zinaacha rangi kwenye figo coca nyeusi mkojo wa njano kama coca ukiweka kipande cha nyama baada ya siku 2 kimuyeyuka je mwili wako...
heshima kwenu, natafuta frame/mlango wa kukodi. Eneo la mjini dar es salaam. Ikiwa ni posta, akiba, mnazi mmoja, samora na kwingineko. Kwa ufupi sehemu ya mjini yenye movement, niko tayari...
LG E400
NI SMARTPHONE IMETUMIKA
KIASI.!!!
BEI :100,000 Punguzo tunaongeaaa
NOKIA LUMIA 610
IPO KWENYE HALI NZURI SANA...
BEI .: 150,000
NOKIA ASHA 210
INA ONE WEEEK TUUU
BEI,::: 100,000...
Wakuu nauza simu yangu aina ya nokia asha 311
Touch screen
Camera
Viber
Instagram
Watssup
Camera 3.15 MP
BEI TSHS.130,000/=
Niko dar es salaam.
simu yangu ni 0683-124870
Kwa wale wanaoitaji powerbank za uhakika na zinazodumu muda mrefu wanitafute. Naambatanisha moja hii ina 5600mAh na bei yake ni 40, 000. Na kuna variety nyingine nyingi tu...nitafute kupitia...
WE GLADLY WELCOME!! YOU TO GIZMOTECH STORE LIMITED®
GIZMOTECH STORE LIMITED® NOW OFFER A ANNUAL SALE!!!
We are dealers of all kinds of Mobile Phones Such as Apple Iphone, Blackberry, Nokia...
jamani ndugu zangu mimi ni mfugaji wa kuku wa nyama ninatafuta soko la kuku,
ninao kuku 800 wa nyama na wana uzito wa kilo 1.5
kwa mawasilianonijibu nitakutafuta nakuletea hadi mlangoni kwa bei...
Nilikuwa nahitaji kujua utofauti wa kingamuzi cha startime na kile cha azam katika malipo,ubora na kipi kina stesheni nyingi za tanzania pia kama hukufanikiwa kulipa mwisho wa mwezi je kingamuzi...
Kiwanja chenye ukubwa robo eka kinauzwa. Kiko Tegeta Salasala karibu na IPTL. Kiko kwenye eneo la utulivu.
Kina hati ya zawadi (Deed of Gift)
Chote ni TZS 50 Million. Nusu TZS 30 Million.
Kuna...
nokia e6 for sale
ram:256mb
cpu:680mhz
internal: 8gb + 1gb rom nakupa na memory ya 32gb na cable ya tv kuangalia na cable
ya kusomea flash ipo cul na nakupa battery mbili...
Ina cover na apps...
Cresta 1g Kavu gx 90 inauzwa Bei karibu na kupewa Bure ni sh 3400,000/=.Maongezi yapo...Serious buyer Twanga PM nikupe maeelezo ya kina.
KARIBU MTEJA!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.