Kwa yeyote ambaye anataka simu original, mpya smart fonz kwenye box lake kabisa...ninauza at an affordable price...aina zote za samsung, aina zote za htc na sony xperia pia...napatikana kwenye...
Ni Condenser mic ambayo zinatumia USB na unaweza kuunganisha Direct kwenda kwenye Computer bila kupita kwenye Mixer
Brand Model: Recording Tool MCU-02 Kutoka Ujerumani.
Package yake ilivyo
�...
Mwenye nyumba ya kupanga Ruaha, Kidatu Kilombero saizi ya idadi ya vyumba yoyote , umeme maji na choo cha ndani tuwasiliane kupitia 0764 562051. Naihitaji haraka kuishi kwa miaka kadhaa.
nimerudi tena na uzi ule ule kama kawaida ndani ya biashara ya samaki mzigo unaingia daily usisubiri mpaka madaktari wakushtue wala usingoje ndugu waje wakununulie ukiwa kitandani ninaleta samaki...
Nina heka zaidi ya 1700 ambazo ninaweza panda mazao haya, maharage,mahindi, ufuta,alizeti,soya,tumbaku,ulezi etc. Mwaka huu nimepanda heka 120 za maharage ambayo yana mteja tayari na tume saini...
Jaman hz sim za huawei Y300-100 zinasumbua saaaana hadi kero, ukiongea na mtu mawasiliano yavurugika ghafla.we unamskia lakin yeye hakuskii.mwenye kujua mahali ambapo naweza kutenengezewa...
Habari zenu, kuna altezza inauzwa iko katika mazingira mazuri sana! Ina gia 6!
Inauzwa; 9 million.
Location; Dar es Salaam
Kwa maelezo yote na jinsi utakavyoipata, wasiliana na mmiliki wa gari...
Habari wakuu kuna radio za gari aina ya Sony naziuza kwa bei nafuu ya 150,000 price negotiable
Zinakubali flash na dvd
Niko Dar es Salaam
Kwa mawasiliano ni PM
Pia kwa wanaotaka za jumla...
Ina sittingroom, dinning, kitchen, three bedrooms, kimoja ni masterbedroom, ina choo cha public ndani na choo cha public nje, ina gezibo au sehemu ya kupumzika ndani ya fensi garden ndogo na fensi...
Nyumba (pagala) lenye eneo la 20m kwa 25m inauzwa kwa bei ya Tsh 25,000,000/=.
Lipo eneo la Saw Mill - Sombetini.Kwa mawasiliano Tel. 0715313676.(price negotiable) Bei maelewano.
Shamba zuri la ekari 50 linauzwa kwa pamoja.
Ni mahala pazuri pia kwa mradi wa viwanja kwa wale wanaoona mbali na wenye uwezo au sehemu kwa ajili ya ujenzi wa taasisi za kielimu.
Lipo kilometa 4...
We are looking for a sales person(preferably a man) for a new Turkish generators' company opening soon in Dar es salaam.
Qualifications: Computer skills, knowledge in Swahili, English and Turkish...
Kwa picha za angalia attachments!
Kodi 250,000/=....malipo ni miezi 6!
Sifa:
-UnaLUKU yako
-Chumba na Sebule
-Unakitchen na Bafu/Choo chak0
-Hapo bafuni unaelectrical heater ya maji moto!
-Tiles...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.