Viwanja vilivyopimwa zaidi ya 200 kwa ajili ya makazi, Taasisi na biashara vinauzwa.
Viwanja viko Gezaulole - Kigamboni Dar es salaam
Bei zinatofautiana kulingana ukubwa wa kiwanja.
Kwa...
Wana Jf poleni kwa shughuli, ujumbe ni kuwa nina DADA YANGU AMEMALIZA MASOMO YA UHUGUZI NGAZI YA CHETI/ CERTIFICATE ANATAFUTA KAZI KITUO AU HOSPITALI YOYOTE YA PRIVATE, NAOMBA MWENYE INFO ZOZOTE...
Heshima kwenu wakuu.
Ama baada ya salamamu naomba nifikishe ombi langu kwenu. Kwa wale wenyeji na wanaopafahamu vizuri Singida mjini, naomba kuelekezwa swala hili. Ni duka gani wanauza simu za...
Habarini wakuu.!! Namshukuru Mungu nimeiona siku hii, mimi ni kijana wa kiume nina miaka 23 nina elimu ya kidato cha 6 nipo dar es salaam nikitokea mkoani Ruvuma-tunduru. Nimeshindwa kuendelea na...
Wadau,
Naomba kujua bei ya Lenovo Ideapad s300 laptop mpya kwa hapa Tz,ikiwezekana nipate na jina la duka linalouza nataka kununua soon.
Pia nakaribisha ushauri juu ya aina hiyo ya laptop kwa...
Jamaniee! Nataka kununua TOWNACE NOAH toka
SBT Japan, awali niliwahi kuwalipa kwa paypal
lakini safari hii wamegoma wanasema paypal
hawatumii tena bali ni T/T pekee. Naomba
mwenye kuwajua...
Anaeuza moja kati ya htc one au galaxy s3 used nahitaji kununua kikubwa iwe kwenye hali nzuri bei maelewano,kwakua
sipo sana online mwenye nayo/anaeuza anicheki kupitia 0752177217
Wadau wale mnao usumbuka na simu za smartphone kuishiwa chaji kila wakati sasa waweza kutembea na kifaa cha kuchaji simu yako mfukoni, kinachoitwa power bank, zipo za kuanzia 25,ooo mpaka 55,000...
husika na kichwa cha habari hapo juu iwe katika hali nzuri wadau
Model : SGH i780
Ina camera 2.0 mega inapiga mbele na nyuma
Inatumia INTERNET OPERA BROWSER
IMETENGENEZWA KOREA
INA STICK KWAJILI...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.