Wadau, ninatafuta kununua kampuni ya clearing and forwarding iliyokamilka. Isiwe na madhambi yeyote, fines, wala kudaiwa kodi na TRA. Iwe imefanyiwa annual filings za BRELA. Any interested...
Habari ya weekend wana jamvi!
Tafadhari, nahitaji kununua HONDA CRV-Used.
Je zina matatizo gani ambayo ni common?
Je ni gari nzuri kwa matumizi ya mwenye kipato cha kawaida?
Msaada...
Wale wadau wa mambo yetu yaleeeeee
hapa utapata bundle la gb 5 to unlimited mwezi mzima kwa watumiaji wa vodacom
pia unaweza unlock simu ya huawei ascend y300 na 200 kwa elfu 18,000 tsh na...
nauza simu yangu ya blackberry curve 2 haina tatizo lolote
sababu za kuuza naitaji nauli ya kwenda msibani
nauza shiling 150,000 picha zaid whats app ,
0712505049
Kwa wapenzi wa mziki , tunatoa mafunzo ya mziki , kujifunza kuimba, kupiga gitaa na Kinanda ... Gharama ni sh 30,000/= kwa siku tano
i.e mafunzo ya vocal ( vocal training) 30,000/=
Kupiga...
Waheshimiwa
Habari,
Mi nina shida kwa wakati huu ambapo nipo wilayani na mpango wa internet
ndo uko chini balaa.Nilikuwa naomba kwa yeyote anayefahamu ni kwa njia
gani naweza pata huduma ya...
Kwa wale wakazi wa Dodoma na wanao tarajia kuhamia Dodoma kuna Nyumba Maili Mbili kabla ya kuvuka daraja ukiwa unaelekea Arusha/Kondoa upande wa Mashariki inapangishwa.
Ina room 3 moja ni self...
Kuna kiwanda kidogo cha kukamua alizeti mjini Morogoro. Uwezo ni kukamua tani 6 kwa saa 10, hivyo kwa siku nzima ya saa 24 ni kukamua tani 12 hadi 14. Mafuta yanachujwa mara mbili. Wanatafutwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.