MUHIMU: Huu mzigo ushaisha, samahani kwa usumbufu wadau.
Habari wakubwa, nilikuwa na kamzigo kangu nimekatuma nchini. Kameuzika vizuri tuu, zimebakia simu mbili za kichina.
4.5", betri mbili, head...
Domain: 25000/= only
Hosting: 6000/month na 60000/year
15000/month na 150000/year
VYOTE VIKO HAPA:Karibuhost Inc. - Tanzania Web hosting, .tz Domain Names Registration, Domain Names...
Ni web system powa na nzuri ina feature zifuatazo:
1.Ina powerfully admin and client side.
2.Kwenye Admin panel unafanya mambo yafuatayo:
Add Destinations i.e Serengeti, Manyara, KINAPA , Mikumi...
Iwe katika eneo la Mbezi Beach.Iwe na vyumba vya kulala visivyopungua vitatu, jiko, sebure kwa kifupi ramani au mchoro wake uwe wa kisasa na uwe unavutia. Iwe imejengwa juu ya kiwanja chenye Hati...
MICROSOFT EXCEL OR WORD OR POWERPOINT (2007/2010) BASIC => TSHS 60,000 (8 HOURS)
MICROSOFT EXCEL OR WORD OR POWERPOINT (2007/2010) ADVANCED => TSHS 60,000 (8 HOURS)
MICROSOFT PROJECT (2010)...
Wapenda habari za asubuhi.?
Napenda niwatangazie kuwa tunatoa huduma za Fumigation katika nyumba binafsi,ofisi,shule,hoteli,migahawa,bucha nk.
Timu yetu ina watu wazoefu wa kufanya kazi hii kwa...
Wakuu nauza laptop yangu aina ya ACER ASPIRE E1-531
Processor 1.8Ghz dual core, 2MB L3 cache
Ram 2Gb DDR3
15.6" HD LED DISPLAY
Hard disk 320GB
DVD-Super Multi DL drive
Acer Nplify 802.11a/g/n+BT...
Marafiki ninatoa huduma za Uchapishaji pamoja na Upambaji kwenye sherehe na shughuli mbalimbali
ziwe ni Kipaimara, Sendoff party, Wedding party, Birthday party, Seasonal party, Get together party...
Habari wadau,
Naomba kuuliza kwa Dar naweza kupata wapi matofari ya kuchoma. Yeyote anayefahamu anijuze na gahara yake.
Pia kama mnajua yale ya kuunga kwa Cement na yale ya kuchomeka, yapi ni...
Wanajamvi ukiwa na tipa kuanzia cubic meter 8cm hadi 15cm tunaweza fanya biashara aidha kwa cku,trip, dar au mikoani au vingineuyo unahitaji wewe tutakupa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.