iPhone 5C is going for a quick sale, brand new in the box with all accessories...earphones, data cable/-charger and power adopter
Specs ; 16Gb inbuilt memory, LTE Technology, Wifi, GPS...
Nina desing kadi za mialiko, business card.kwa bei ndogo. pia.typing kwa speed sana.. bei zetu ni.sawa.na bure. tupo Kinondon au tucheki kwa 0716154531 tutakuletea ulipo...
Wakuu nahitaji laptop aina yeyote ila iwe i3 au i5,
Ram 4gb
Hdd 320_500Gb
Iwe inakaa na chaji angalau kwa masaa manne na kuendelea.
bajet yangu ni 400000
habari zenu wana jamii, baada ya kupata usafiri mpya nimeamua kuuza pikipiki yangu aina ya honda cc90 nyekundu imetumika kiasi. Iko dar es salaam na bei yake ni laki sita. Kwa anayetaka kuiona...
Josee popote pale ulipo tafadhali tuwasiliane.
Ilikuwa ni arusha 1982-1988
tulikuwa arusha vijana road.
Tuliendesha wote baiskeli.
Tuliogelea.
Shule ulikuwa arusha school.
Sunday school--kkkt...
Habari wana JF.
Nauza nyumba yangu,ina vyumba 3 ambapo kimoja ni master bedroom,sitting room,dinning room,kitchen na public toilet, pia ina gypsum kote,.
Nyumba imekamilika mtu anaweza hamia...
nina Nokia E52 kwa 200,000
na nina Nokia E72 kwa 150,000 zote zipo vyema
kabisaa nipo tayari kukusikiliza kwa utakayehitaji!! Nichek kwenye namba 0758158730
nina design kadi za mialiko, business card, typing with very high speed and accurate bei sawa na bure. tupo kinondoni au piga 0716154531. tutakufikishia ulipo
Nyumba zinauzwa moja ipo Sinza palestina nyuma ya msikiti karibu chuo cha sheria LAW SCHOOL UNIVERSITY
tsh million 250 cash.
Na nyingine Sinza A maeneo ya mlimani city!!
tsh million 200...
Habari wakuu....nahitaji kununua pikipiki kwaajili ya biashara .Budget yangu ni laki nane tu na iwe kwenye hali ya kuridhisha kabisa!mwenye nayo ani PM
Tafadhali sana nahitaji kununua ikiwa mpya na niko Mwanza.Kwa yeyote mwenye kujua zinapatika duka gani na bei yake anijulishe.Si vibaya hata kama nikipata taarifa kutoka Dar,Nairobi ama Kampala...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.