Ninauza kiwanja Kimara Golani approximately 2.5km from morogoro road, Kuna msingi wa nyumba uliokamilika. Ukubwa wa eneo ni sq m 1400, Kama ilivyo terrain ya Kimara eneo hili lina bonde ambalo...
Make-Toyota
Model-Noah
Model No-AZR65
Body type-Station Wagon
Year of Manufacture-2004
Seating capacity-8
Fuel-petrol
Distance run-60000
Imported From Japan October 2013
Price-13millions...
WanaJF ninaomba kwa yeyote anayefahamu soko zuri la mtama mweupe(mesaya) anisaidie kwani nina tani 130 nilizovuna mwaka jana.zipo katika hali nzuri ktk godown langu hapa Dodoma.Nitashukuru kwa...
Habari zenu! Kwa yeyote anayehusika. Nina shida na kiasi fulani cha hela,naomba kazi ya kulea mtoto tu au watoto kwa muda tajwa hapo juu mwaka huu. Lengo langu nikamilishe miezi hiyo nipate...
Napangisha nyumba ipo nyuma ya uwanja wa maonyesho ya wa kulima nanenane Morogoro, nyumba ina vyumba vitatu vya kulala,jiko, store, dining, na sebule. Nyumba ina fance na miundo minu mizuri ya...
Habari wakuu, poleni na majukumu ya ujenzi wa taifa,
Awali ya yote naomba radhi kwa sababu natangaza biashara bila picha (na sitaweza kuweka picha hata baadae), sababu ni kwamba nipo mbali na...
Habari njema....Viwanja vinauzwa hekari moja sh. 5M tu (Hata chini ya hekari unapimiwa na kuuziwa). Eneo liko Kibaha Bungo karibu kabisa na Open University,kilometa 4 kutoka Morogoro road.Liko...
Habari wandugu,
Mimi ni kijana mjasiria mali hapa jijini dar,kama kawaida ya wajasiria mali tunakuza mitaji kwa njia ya mikopo mbalimbali kkama nilivyojaribu kufanya mimi.
Kwa bahati mbaya...
Nyumamba inauzwa
location-kimara mwisho
details-gari linafika hadi nyumbani
-ina vyumba vitatu ,master room na sebule
-vyumba vya nje(mabanda ya uwani) viwili(2)
-choo cha nje na choo cha ndani na...
Tunajishughulisha na usanifu/uchoraji wa ramani bora za majengo aina zote , kudesign bustani ,kudesign ndani ya nyumba(interior design) na kutoa ushauri wa masuala ya ujenzi kwa bei nafuu...
Flash,Pause,Rewind na kufowadi channel Star TV,ITV,Eatv,Capital,Chan10,Citizen,Emmanueltv,hopetv,CCTV,BBC,France24,Aljazira,VOA etc hakuna malipo ya mwezi. Bei 65000/= pamoja na Cable&Antenna.
nauliza naweza kupata wapi water pump ambayo nitatumia kumwagilia bustani yangu,atleast iwe na head ya 12metre,diesel driven au petrol,naomba kujua pia bei yake
Wana JF, kuna mtu ninayefahamiana naye, anaishi maeneo ya Mbezi beach anauza gari aina ya Toyota premio (New Model:2010), bei ambayo ni sawa na bure ukilinganisha na thamani ya gari lenyewe (Mil.4...
3 Modern houses under one compound (fence) available for rent at Plot No. 238, Block V, Kambarage area in Njombe town.
The rent is Tsh. 400,000/- per month for each including supply of borehole...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.