jaman wanajamvi habar zenu.
nina shida ya wimbo wa tenzi unaitwa mbele yake mwokoz wangu ila muimbaji simjui, japokuwa ni wa kike. naomben mwenye nao au anayemjua mwimbaji niburudike
Lipo wilaya ya Same Mkoa wa Kilimanjaro. Lina ukubwa wa ekari 100 na limepimwa. Kwa mbele limepakana na barabara kuu ya Arusha - Dar na kwa upande wa nyuma limepakana na Reli ya Tanga - Arusha...
E72 Nokia niko nayo na ndiyo hii ninayoitumia. Nataka niiuze ili niongezee hela nikanunue c7.
Hadi Whatsapp ipo niliidownload.
Ni nyeupe na ipo katika hali nzuri kabisa na ni original...
Je simu yako ni ya android? WeatherEye ni program nzuri sana kwa utabiri wa hali ya hewa. Kama simu yako ina GPS inaweza kutambua eneo ulipo na kukupa utabiri wa hali ya hewa hadi siku 10. Mi...
Je unahitaji nembo au logo itakayoweza kuwakilisha biashara yako mahali popote pale.Basi wasiliana nami ili uweze kupata logo iliyo simple na yenye uwezo wa kuwakilisha biashara yako mahali popote...
Habari za jioni wakuu...!!
#nilikuwa nahitaji simu kama itawezekana kuipata hata ndani ya wiki hii,especial jumamosi.
Mm nitakupa tsh laki mbili (200,000) kamili pamoja na simu ya BlackBerry...
Tunajishughulisha na usanifu/uchoraji wa ramani bora za majengo aina zote , kudesign bustani ,kudesign ndani ya nyumba(interior design) na kutoa ushauri wa masuala ya ujenzi kwa bei nafuu...
OFISI IKO KATIKA ENEO ZURI LA KIBIASHARA CHANG'OMBE,
ENEO LA OFISI LINA UKUBWA WA MITA ZA MRABA 61,
INA ENEO LA KUEGESHA MAGARI LENYE MITA ZA MRABA 74,
INA SEHEMU YA MAPOKEZI,CHUMBA MBILI ZA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.