Elisha Chuma ameandaa mpango kabambe wa ushauri wa biashara kwa wafanyabiashara wadogo wa kati na wakubwa na wale wanaotaka kuanzisha biashara ili kuwawezesha kuwa wafanyabiashara wakubwa na...
Wakuu habarini za wikiend?Nina habari njema kuwa ule ugonjwa wetu yaani HIV/AIDS sasa umefika kikomo,kuna dawa ambayo utengenezwa kwa miti na kuwa unga imewasadia watu wengi sana na kumaliza...
kwa yeyote anaejua, ninashida na hiyo mashine tajwa hapo juu, mwenye nayo ama kujua zinakopatikana na bei yake, naomba anipe taarifa, namba 0717210880!
kwa yeyote aliye na uitaji wa ramani ya nyumba au kupata ushauri wa ujenzi. tuwasiliane kwa no 0659497070 au 0767232509.kwa ushauli zaid afike oficn kwetu maeneo ya tabata segerea .
Nina nokia n8 imezima gafla nikiwasha ina vibrate tu haiwaki kama kuna fundi simu mzuri pande za mwanza anaweza kui flash aniambie na gharama ni sh ngapi
Kama maelezo yanavyojieleza hapo juu,Gari ipo katika hali nzuri kabisa,namba yake ni BAY,leathered seats,intelligent key system,ila kuna hitilifu tu kwenye right head light(taa ya mbele kwa...
Nyumba inauzwa milioni 180. Ipo Kinondoni Mkwajuni karibu na shule ya Msingi Mwongozo, nyuma ya nyumba ya zamani ya Hayati Sheikh Yahaya. Nyumba hiyo ya zamani ya Sheikh Yahya inatazamana na...
Make:Toyota
Model:starlet
Eng capacity:1330
Man year:1998
+alloy rims and music systen 1,200w
Gari iko katika hali nzuri na ni well maintained kasoro ni kwenye baadh ya indicators,bei itapoa...
Habari wakuu...nauza simu aina ya blackberry curve 3 (9380) ni mpyaa..haina tatizo lolote,no scratches.
#bei tsh laki 2 na 30...(230,000/=Tsh)
»Kama unaipenda unaweza ukani PM tuwasiliane.
Nilileta taarifa hapa za kutafuta Damu ya kumuongezea baba, nilipata ushirikiano mkubwa sana kutoka kwenu!! Ila Mungu kampenda zaidi, tutakuwa dar kwakipindi kifupi then tutaelekea kirua vunjo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.