Trim color,cd radio,new tyres, engine 4s,good condition, some scratch on passenger door,ac need refill,but we can do it for you if tunaelewana.carina ed very good looking.call 0659574107.
Wana jf naomba mnisaidie ni wapi naweza pata mahindi mazuri kwa ajili ya popcorn na gharama zake, nataka nianzishe hii biashara na mshine ya kutengenezea popcorn yenye kitoroli chake inayotumia...
Iwe yenye uzio, chumba na sebule self, mitaa ya Isamilo, kona ya Bwiru au Ghana hata Mjini kati. Budget 150,000 kwa mwezi. Inaweza kua ya ku-share pia, say upande mmoja
Natafuta mfanyakazi wa ndani kazi yake kubwa ni kumulea mwanangu ataishi dar mm nipo kilimanjaro.malipo yake maelewano.mazingira ya kuishi yenye yapo mazuri.angalizo asiwe mtu mcharuko.
Wanajamvi ninajishughulisha na ufungaji wa wiring za tv,kamera za usalama yaani cctv,tv satelite dish,simu za ndani extensions pamoja na data net(intenate) ktk maofisi mahotel na majengo ya...
Tafadhali angalia maelezo kuhusu simu hii, its is the best phone!
Inauzwa for 450,000/=
Simu hii inakuja na rangi kama inavyooneka kwenye picha ya pili
Kwa Gharama...
Nyumba ina sebule na vyumba viwili, kimoja ni master, kina jiko tena kubwa tu, kina choo kingine cha public, tiles, aluminium windows, ndani ya fence na parking ipo. Maji yanatoka mara mbili kwa...
Jamani wapendwa samahanini kwa usumbufu nna katangazo kadogo,nnauza simu nokia x2-01,bei elfu 60,000 siyo mbovu na muonekano wake ni mzuri tu kwa atakaye hitaji ntampa namba,shukrani
Hi people! Habari za muda huu? Nikwamba nauza simu ya tecno m3 tsh120000/= ni android 4.2.2 ina internal memory 4gb na external memory 8gb! Ram 512, na dual processor! Nimeitumia kwa muda wa 3months!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.