Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Nahitaji samsung galaxy s2, Bajeti yangu ni Tsh. 230000 Niko Arusha.
0 Reactions
4 Replies
967 Views
A brand new samsung 40F5000 40inch tv" 1080p 60Hz slim led HD tv and home theatre ht-E355k, 330watts, fullHD, HDMI, karioki, with magical sound both for 1,980,000/=.full warranty . cont:0718 268969
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Wadau ninayo heshima kubwa saana naomba kujua GENERALLY UZURI WA HAYO MAGARI MAWILI NA UBAYA WAKE,Yaani SPARES AVAILABILITY,UIMARA WA GARI,COMFORTABILITY,OIL CONSUPTION nk. na yoote asilimia 65...
0 Reactions
41 Replies
12K Views
Tunauza mbao za aina zote...za kuchemshwa (za dawa au treated) na zisizochemshwa..kwa maelezo zaidi wasiliana na namba zifuatazo 0715292319 au 0719352293 .Ukihitaji...tafadhili ni PM (Private...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Pikipiki aina ya skyGo inauzwa Tsh. laki 8.5 tu. Pikipiki iko safi aina tatizo lolote. Nipo dsm Kwa manunuzi ni PM au niTxt 0654913364:israel:
0 Reactions
10 Replies
5K Views
heloo, nilikua nahitaj chumba kimoja kiwe self maeneo ya external pawe pametulia pazuri. ni pm kama unacho tudo business. thenx
0 Reactions
3 Replies
740 Views
handbag za kina dada zinapatikana kwa bei nafuu na pia tunapokea order kama kuna mtu anahitaji handbag, simu yako ndo inahusika kama unahitaji tutakuletea mpaka ulipo, piga 0712656606 or 0714466356.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wadau nahitaji fremu kwa ajili ya stationary, eneo zuri kwa biashara hiyo.. Anayefahamu anipm tafadhali
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mmenilalamikia sana PM kuhusu bei ila mzigo wa uhakika huo, huwezi pata popote bei kama hyo tena kwa latest ipad yenye 32gb, most zinakua na 16gb na haziingizi line kwaajili ya kupata internet...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
mwenye kimoja kati ya hvyo antafute tufanye biashara
0 Reactions
1 Replies
762 Views
Linapofika suala kunipia ushuru sina hamu Kabisa ,nataka kuagiza Isuzu nqr box body's .mwenye idea naomba anisaidia kwa kukadiria gharama,asanteni
0 Reactions
0 Replies
624 Views
natafuta laptop aina ya hp used iwe smat na haijatumika sana bei iczid laki 350000
0 Reactions
3 Replies
820 Views
Ts up Mwenye laptop ambayo ina properties kama hiz au zaid Mdaa wa kukaa na chaji minimum one and half hour, hd 300gb na kuendlea, ram 2 gb tuongee biashara aweke gharama Properties
0 Reactions
3 Replies
792 Views
Wakuu nilipost hapa jf kua kuna saa zinauzwa nkatuma pict bila price katika link hii hapa Juma kaseja kufungwa 5-1 misri anatufaa taifa stars?. Nshafanikiwa kutengeneza price list hizi hapa! Kwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nyumba Ya Kisasa Inapangishwa...Ina Vyumba Viwili Na MasterbedRoom Moja...Ina Dining na Sebule Kubwa Pamoja na Public Toilet...Maji 24HRS Kuna Simtank..Parking ya Gari na Iko ndani ya...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Viwanja vyenye ukubwa wa ft 52 kwa 45 na ft 50 kwa 52. Vyote vinabarabara, umeme upo jirani, sio mbali kutoka barabara kuu. Bei ni 7m tu.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ndugu zangu wana jukwaa, Ninauza kigari changu aina ya Toyota Duet kwa harakaili kutatua tatizo linalonikabili. Gari yenyewe ina specifications zifuatazo:- Make...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
http://referralround.com/?refer=40823
0 Reactions
2 Replies
834 Views
Nauza samsung galaxy s4, ni original, used. Iko kwenye hali nzuri, ina michubuko kidogo kwa pembeni. Inakuja na charger. Kwa mawasiliano nichek 0717301520
1 Reactions
1 Replies
3K Views
natafuta mini laptop kwa yeyote mwenye nayo,procesor iciwe chini ya 1.8;hdd 320 iwe na web cam,bajeti ni 250k
0 Reactions
0 Replies
850 Views
Back
Top Bottom