Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Habari wanajamvi, yeyote anayejua sehemu zinapouzwa mashine za kutengenezea icecream naomba anijuze.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nyumba ya kisasa Inapangishwa Ipo Kinondoni Karibu na Ada Estate....Ina Vyumba Viwili Vya kulala na Masterbedroom Moja...Ina Dining na Sebule kubwa...Parking Ya Gari Maji 24hrs.....Yote ina Tiles...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Laptop inauzwa sh. 350,000 aina ya eMachines E732ZG. · Intel Pentium P6100 / 2.0 GHz ( Dual-Core ) · RAM 4.0 GB · Hard Drive 320.0 GB - Serial ATA-150 - 5400.0 rpm · Operating System...
0 Reactions
3 Replies
906 Views
kuna kijana anaitwa emilwayne aliniuzia laptop humuhumu jamii forum! nikawa nataka aniwekeee window 8 ya 64 bits so ikabidi nimpe! kijana mwanzo nikaona n vbaya kumdhania vbaya kama tapeli, ila nw...
0 Reactions
26 Replies
2K Views
I phone 4s inauzwa ipo kwny hali nzuri ni nyeusi na 16gb storage kwa mawasiliano tumia namba 0713239001 bei ni 380,000tshs
0 Reactions
3 Replies
801 Views
Kiwanja kinauzwa kipo wazo tegeta Dar es salaam, kimepimwa na hatia. Bei ni shilling million 25 mazungumzo yapo, just PM
0 Reactions
2 Replies
929 Views
Click the link below http://InternetDuty.com/?id=Izukene
0 Reactions
1 Replies
788 Views
Wanajamii naomba mwenye kujua bei (market value) ya viwanja, kama nusu ekari maeneo ya Kunduchi karibu na Kunduchi Beach Hotel anijuze tafadhali. Niko mbali kidogo kupata Land valuer. Asanteni.
0 Reactions
0 Replies
543 Views
Toyota Mark X - 2005,ndo imeingia muda si mrefu CC 2500 Unawasha gari bila funguo Imetembea KM 88,000 Ndo nairegister sasa Bei ni 19M If,we can do business,plse call:-0755 927881
0 Reactions
0 Replies
872 Views
Hi Watanzaia, Sisi ni vijana tulioamua kuunda umoja wetu na kutengeneza workshop ambayo baadaye tutaisajili na kuwa kampuni kamili. Tunashugulika na ALUMINIUM AND GLASS WORK,METAL FABRICATION,AND...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Laptops for sale, Hp elite book 8440p Specifications, Core i5 (processor 5), 4gb ram, 500gb hard disk unawez ukabahatika 750gb, finger print! Na specification kibao! laptop n mpya sio used! N...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Nahitaji tripod bei isizidi TZS 30000 kama unayo uni PM tufanye biashara au kama unajua duka zinapouzwa tafadhali uniambie ila isiwe Game supermarket kwani kwa sasa hawana.Pia kama una flash aina...
0 Reactions
0 Replies
593 Views
simu tajwa inaitajika bb 9300 nyeusi iwe vizuri no scraches 0766786620 tumalize!
0 Reactions
4 Replies
699 Views
Habari wana JF, natafuta maziwa fresh ya ng'ombe kwa ajili ya kuuza. nipo Dar ni wapi nitapata kwa bei nzuri?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Yard inahitajika ukubwa heka 2 na kuendelea, maeneo ya Kurasini, Mandera road,Pugu road,Mwenge na Mikocheni. Ni kununua na si kukodi.mawasliano 0773 944 944
0 Reactions
0 Replies
774 Views
Wakuu habari za jioni, Nahitaji gari ya kutembelea yenye fuel consumption nzuri pamoja na durability and should be Sedan! Nimeshauriwa kununua Toyota Carina au Corolla Sedan Kuna tofauti kubwa...
0 Reactions
31 Replies
5K Views
Mashine ya kusaga na kukoboa,motor horse power 65,motor horse power 40,vifaa vyake vya umeme vyote hivyo shilingi million 6 tuu. piga 078688884
0 Reactions
0 Replies
951 Views
Wana JF, tunakodisha viti,turubai na meza kwa bei nafuu.Tunapatikana mabibo,kwa mawasiliano piga namba 0757969866/0712488125/0689736823.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wana JF, tunakodisha viti,turubai na meza kwa bei nafuu.Tunapatikana mabibo,kwa mawasiliano piga namba 0757969866/0712488125/0689736823.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
heshima kwa wadau wa jamii forum. Nahitaji kuwa na tablet ya sumsung au ipad ya apple kwa yoyote anayeuza. Budget yangu 300000. Nipo arusha kama unauza.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom