Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Waskliana kwa Namba 0658282633 0784 282633
0 Reactions
0 Replies
957 Views
Jamani mwenye kuhitaji kwa ajili ya kununua ama kukodi anipigie simu +9 0909 0909 Bei: Kuuza Tshs 47,000/= Kukodi Tshs 217/= kwa siku Maelewano yapo VIGEZO NA MASHARTI KUZINGATIWA Nyati
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu Nauza Shelf za kupangia vitu dukani, ziko piece tatu, ni kubwa na nzuri zikiwa zimefanyiwa finishing ya rangi ya brown. Kwa zote nauza sh. 200,000 tu. Ziko Tungi Kigamboni Dsm, Anaehitaji ani PM
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari wadau, chain saw mpya inauzwa, bei maelewano, serious buyers call 0789737699, nipo Dar Salama wana JF Chain Saw may inauzwa, nimeambatanisha details na picha, bei maelewano between buyer...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Tafadhali kwa Mtu anaeuza aina hizo ya simu ani inbox pamoja na bei Zane ila HTC ndio nayohitaji zaidi.
0 Reactions
9 Replies
2K Views
wadau noah inauzwa bei poa na iko safi imesimamia kucha...10M!!
0 Reactions
10 Replies
1K Views
wakuu mambo vipi? nina samsung galaxy y pro... ni screen touch and keypad .... single line... nataka kubadilishana na mtu yyte mwenye smart phon ambayo sio samsung
0 Reactions
0 Replies
620 Views
Nampango wa kufungua duka la vifaa vya umeme hapa Morogoro naomba kwa anayejua wapi wanauza vifaa hivyo kwa bei ya jumla Dar..
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Hard disk mpya zimeingia kutoka kiwandani..!! 1TB - WB - 200,000 2TB - WB - 210,000 500GB - SAMSUNG - 130,000 1TB - SAMSUNG - 220,000 2TB - SAMSUNG - 220,000 Galaxy tab 3 - 600,000 Kama unahitaj...
0 Reactions
0 Replies
962 Views
S4 clone mpya nyeupe Bei 280,000/= Contacts 0716683434
0 Reactions
0 Replies
681 Views
Wana jamii wenzangu ninauza kiwanja changu kilichopo Mbezi Golani km 2 from morogoro road, Kina msingi wa vyumba vitatu kimojawapo ni master bedroom, vilevile una home office, dining, store...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Tunaandaa 1.michanganuo ya biashara, 2.utafiti wa masoko, 3.usajili wa biashara na makampuni, 4.kutafuta mwenza wa biashara, 5.uwekezaji katika raslimali zisizoendelezwa, 6.kupanua biashara...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
kwa anaefaham bei za samsung galaxy note 2 na S4 ambozo ni used na ziko kwa good condition naomba mnojuze tafadhali hasa kwa hapa bongo.... thanks in advance..
0 Reactions
12 Replies
9K Views
Habari wanajamii, Nauza tiket ya ndege ya fastjet ya kuondoka nayo tarehe 28 Jan 2014 muda wa saa kumi jioni mana nlikata mapema nkitegemea ntachelewa kumaliza shughuli yangu huku mwanza na kumbe...
0 Reactions
27 Replies
4K Views
nauza simu tajwa hapo juu internal memory capacity: 2gb gps wifi camera 2.0 price 120,000/- ina miezi 2 0755567497
0 Reactions
1 Replies
736 Views
30% off all dresses for Valentines day. Dresses from London from 30,000 TSH. Call 0768 120 060 for appointments at Free Market Shopping Mall Thursday 13th & Friday 14th.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kwa yeyote yule Ambaye Anauza Simu hizo Tajwa hapo juu Anicheki kupitia 0757645436 kwa text Au WhatsApp . Tuongee Biashara #KWA WAKAZI WA DAR ES SALAAM
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Naihitaji simu ya aina yeyote ile ila iwe android ya bei ndogo.0783905864
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Line ya mpesa inauzwa sh.350,000 anaehitaji anitafute kwa kwa msg namba 0712488125.
0 Reactions
1 Replies
728 Views
Nahitaji logo designer tafadhali sana ambaye yuko serious anitafute kupitia namba 0787 725 140
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom